Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,086
Wassira anasema kuwa hivi sasa wanajadili Rasimu na wataendelea kujadili rasimu kwa mujibu wa sheria zinazoongoza rasimu hiyo
Yeah! mti utuoa matunda bora ndio unaopigwa mawe sana.
Wakuu mm kwenye tv wassira haonekani vizuri sura. Kipara tu na mwili ndio unaonekana. Au anaogopesha
wasira watamkoma.
dhana ya usukule inaletwa na ushabiki ka wako
Hivi wassira mzima kweli?
Naona mmeishiwa kwa hoja baada ya kubomolew na Wassiraukiona giza meza kuu ujue ni yeye
Hakika Wassira ni kiboko!
Mkuu, Wassira ni kiboko yaoHakika Wassira ni kiboko!
ukiona giza meza kuu ujue ni yeye
Kwakweli kawabomoa!Dah! Wassira anaendelea kuwabomoa UKAWA