Ndugu wanabodi, msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na Itv...... Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo..... Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.KARIBUNI
inawezekana kabisa ccm ni marehemu mtarajiwa
haa haa, huo ndo ukweli mkuu, ccm wamezoea kudanganya wajinga!CCM hawawezi vita vya ana kwa ana ndiyo maana Wasira kakacha mdahalo.CCM bila kubebwa na uwingi wao na kubebwa na bibi mkuu wa bungeni hawana lolote.Ukitaka kumfukuza CCM mpeleke kwenye mdahalo na ukitaka kumfaidi CCM mpeleke kwenye kuunga hoja hapo utaliona hadi gego lake la mwisho ni ndiyooooooo kwa kwenda mbele.
haa haa, mkuu weka moja ya tusi ambalo lissu alimtukana mwasisi mkuu, maana nyinyi mnabeba maneno kama yalivyo ilimradi yamesemwa na jk au ccm pole sana mkuu!lipumba mgombea urais mweledi kwa kugombea mara nyingi bila kufanikiwa na tundu lissu anayetusi waasisi wa taifa sijui wana lipi. ukawa wanadhani wana hatimiliki ya kutoa mwongozo kuhusu katiba mpya
kwa wewe haiwezekani, lakini kwa wanaojitambua inawezekana!Haiwezekani hata siku moja
Mchumia tumbo wewe, una kwashakoor ya akili...Umeanza kuandika vizuri mwishoni umejiumbua kumbe na wewe ni wale wale mliotanua UPAWA kusubiri hela za maandamano kutoka kwa wafadhili.
kwa wewe haiwezekani, lakini kwa wanaojitambua inawezekana!
kwa wewe haiwezekani, lakini kwa wanaojitambua inawezekana!
kwa wewe haiwezekani, lakini kwa wanaojitambua inawezekana!