Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Serikali mbili ni mpango wa Shetani....Kamwe hatutoruhusu mpango wa shetani kutawala
 
Serikali ifungue tovuti ya tume ya mabadiliko ya katiba watu wasome randama na wako tayari kurudi bungeni kama pendekezo la serkali 3 ibaki hapohapo-Prof Lipumba
 
Wanywa viroba wa UKAWA wana piga kelele.
 
Watanzania tunahitaji Katiba mpya ya kweli itakayojibu matatizo ya nchi hii...By Lissu
 
Tatizo letu la msingi ni suala la muungano,njia za kutatua tatizo hilo ni kujadili rasimu na njia nyingine ni kura ya maoni-Lissu
 
Tundu anatoa neno la mwisho kwa kuendelea kudanganya kuwa eti kwamba watarudi bungeni baada ya kura ya maoni na.eti sio kuchakachua.
 
Yes Wasira Tume imejikanganya - hizo wanazoziita changamoto au challenges actually ni KILLING ASSUMPTIONS za kuiangamiza rasimu inayo pigiwa matarumbeta ya serikali 3

WASIRA KASHINDA BILA ILE SHAKA
 
Yani Wasira hajaongea point yoyote mpaka mwisho, zaidi ya kutisha wajumbe.
 
Back
Top Bottom