Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Kwa hali ilivyo katiba hakuna hapa...me naona rais jk atupilie mbali tuendelee na hii iliyopo
 
Amos Wako alisema chanzo cha vurugu Kenya ni kukataliwa rasimu ya katiba na hayo alisema akiwa bungeni wakati hakitoa lecture kwai-Prof Lipumba.

mimi nachojua vurugu zimeanza baada ya mwai kibaki kutangazwa urais saa hapo ishu ya katiba imeingia vipi.
 
Ofisi ya katibu wa bunge ilileta pendekezo la kuleta Rais kuzindua bunge Dec 2013 kwenye kujadili muswada wa sheria ya katiba, AG na waziri wa sheria wa wakati huo Chikawe walikataa kabisa-Lissu.
 
Acha ujinga na mawazo potofu akili ilioganda haiwezi kupambanua mambo. Gamba wewe
 
Wasira amewabana...mimi huwa nawaambia wasira ni mtalamu wa siasa....hata kama ccm wanamtatizo lakini jamaa wata win game....sisi wananchi ndo tutakaoamua
 
Rais hakuja kuzindua bunge bali alikuja kujadili rasimu ya katiba japo yeye si mjumbe wa bunge la katiba-Lissu
 
Usikuze mambo, hajatukana maaskofu wala masheik kwa maana ya kama taasisi za dini bali wale wajumbe wa bunge maalum wanaotokana na hizo taasisi wanaoonekana kufanyiwa lobing na ccm katika mchalato wa katiba. Pia acha waliotajwa walalike siyo wewe unakuja as if inakuuma sana kumbe unahisia zako za kisiasa.
 
Back
Top Bottom