Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Hofu iliyopo tutapitisha serikali 2 mambo mengi kwenye rasimu hii hamna -Awadh
 
Acha uongo Humphrey hajataja mtu, ficha ujinga wako uepuke aibu.
Ukawa mmepata za uso.
Wassira kawapa za uso.

We kweli chuki, ivi nani kasema lazima tuwe na marais watatuuuh? Y not one President and two prime ministers ambao watachukua vyei vya Waziri mkuu wao Leo na makamu wa rais wa sasa.
 
Neno la mwisho,serikali mbili ni mpango wa shetani, na serikali tatu ni mpango wa Mungu.Muda ukifika sauti ya Mungu itasikika tu
 
Muundo huu wa serikali 3 unaweza kuleta tofauti ya maendeleo,kuvunja muungano kutokana na mapendekezo ya tume -Wassira
 
Back
Top Bottom