Forecaster
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 209
- 121
Wasipofikia maafikiano na maridhiano hawa wanasiasa watakuwa wametuangusha kwenye upatikanaji wa katiba mpya na tuna matatizo makubwa nayo ni maslahi binafsi na maslahi ya makundi.Maslahi ya makundi yamechangiwa na maslahi binafsi.Maslahi ya Taifa hayana msimamizi-Polepole.
Huyu Polepole nae ana point