Sokoine2
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 214
- 32
Wasira amewabana...mimi huwa nawaambia wasira ni mtalamu wa siasa....hata kama ccm wanamtatizo lakini jamaa wata win game....sisi wananchi ndo tutakaoamua
Pole sana!
Wasira amewabana...mimi huwa nawaambia wasira ni mtalamu wa siasa....hata kama ccm wanamtatizo lakini jamaa wata win game....sisi wananchi ndo tutakaoamua
I think Lisu kuna kitu kinamsumbua...hayuko sawa kiakili!!!
Lisu.ni lijinga la mwisho kutwa kucha ni vi phrase vya historia.
UKAWA wamenywesha watu viroba waende kupiga kelele!
amewakashifu viongozi wa dini na kusema kuwa wamekula rushwa!: tena kawataja kwa majina wakiwemo maaskofu na masheikh!
Humphery Polepole anasikitika ni junsi gani Wassira ameongea hata mambo mengine ambayo hayapo kwenye Rasimu
Pole sana....
Sikiliza nondo za Polepole..
Polepole kawaabisha UKAWA pyuuuu