Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Rais hakuingilia tume na alivyokuwa anahutubia bunge alikuwa anatoa maoni kama mkuu wa nchi-Wassira
 
Chagadema wameanza kelele kwa woga wa hoja za mh wasira. wameanzisha nguvu ya misukule ya umma ndani ya mdahalo.
 
baadhi ya hawa wliomo kwenye mdahalo wamepata viroba na TL kaliona hilo
 
usimsifu mtu anapofanya unachotaka wewe na usimlaumu mtu anaposema usichotaka!

Hakika UKAWA wamepeleka wavuta bangi kwenye mdaharo wanapiga kelele tuu na wanaogopa nondo za Wassira
 
Wassira kakiabisha Chama cha Mapinduzi....

Kumbe CCM wote akili zao zimesinyaaa
 
Hivi kweli kwa raia wa kawaida kama Mama Ntilie au mbeba zege au msukuma mkokoteni; serikali 3 zitamsaidiaje kwenye ugumu wa maisha?
 
Back
Top Bottom