Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Bunge la katiba lina kazi ya kurekebisha,kubadilisha au kuboresha yaliyomo kwenye Rasimu!
 
Tume ya fedha kwa uwepo wake kwa miaka 30 serikali haijawahi kutekeleza mapendekezo yake-Lissu
 
Wassira hajui principle of proportionality katika kugharamia mambo kimataifa , anataka Zanzibar yenye polisi 3000 igharimie gharama za polisi sawa na Tanganyika yenye kujitaki polisi 100,000 , Lissu ......Wassira chali........
 
Njaa kitu kibaya sana. Mi nahisi we mchumia tumbo. Usiyetaka kuishughulisha akili yako kufikiri ,alafu bado unajiita gt. Haya we bobea vitendo

maccm yatasumbuliwa sana na huyu kamanda Tundu Lisu kwani kwa mtazamo wangu Lisu ni sawa na wabunge 250 wa maccm.
 
Msimamizi wa mdahalo alikuwa hawajui chagadema kuwa hawana malezi ya heshima! wanapiga kelele kama watoto wa haramu!
 
Wassira.... Hata kama Tume zilizopita zilipendekeza serikali Tatu lakini mbona hazikupitishwa,hivyo na hii ya sasa haitapita
kama anaamini haitapita wairuhusu wajadili kuiboresha watuletee wananchi tuone na sio kutuletea utumbo wa mbili
 
Back
Top Bottom