Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Kwani
c kweli hawajapewa rushwa? Kwa nini walipoitwa wajumbe wa 201 ni wazir
mkuu kuna wengne hawakuruhsiwa kushiriki, ukijulikana hutak serekal 2 tu
unakataliwa.Yule pimbi alietoka kwenye usokwe ivi juzi juzi kanitilia
homa mwanangu bora asingalishiri,
 
Wassira anasema kuwa Wajumbe wote wa Tanzania Bara ni 412. Basda ya wabunge wa ukawa kutoka, waliobaki ni 346. Wajumbe wanaotakiwa ili kufanya Theluthi Mbili kwa wabunge wa Bara ni 275. Kwa hali hiyo, wajumbe waliobaki bungeni wanafanya akidi. Kwa upande wa Zanzibar anasema kuwa wajumbe wote ni 271. Baada ya UKAWA kuondoka waliobaki ni 148. Theluthi mbili inayotakiwa ni 145. Hivyo Akidi itapatikana. Huo ndo ukweli mchungu japo unawauma UKAWA.
 
Amos Wako alisema chanzo cha vurugu Kenya ni kukataliwa rasimu ya katiba na hayo alisema akiwa bungeni wakati akitoa lecture kwai-Prof Lipumba.
 
Hakuna jela hapo,kumdhalilisha mtu ni kusema uongo,na sikusema ukweli!
 
prof suala sio maoni ni jinsi yalivyopatikana - mbona hatua hiyo wasira kaieleza vizuri na mkaanza kueleza mambo tofauti. prof kaanza porojo za kikwete kuhutubia bunge maalum. Sias tupu mwezi wa ramadhan ni kikwete na mungu wake
 
Mbona kama unaunga mkono hoja ya LISSU kwamba wameongeza kanuni baada ya wao kuondoka
Mkuu si kwamba hawana akili. Huwa wanajitoa ufahamu tu. Hapo kajisahau, wenzie watamlaumu sana kama yule kiwete aliyejisahau BMK na kudai ......na Chalinze tutawapiga tena kama tulivyowapiga Njombe.
 
Kama Rais anaangalia mdahalo huu leo siku ya 29 ya Ramadhan anaweza kujirudi-Prof Lipumba
 
Back
Top Bottom