Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Kuna thread moja nilisema huyo ngedere wa c.c.em asingeweza kutia maguu na imekuwa kweli!
-daima hawajiamini katika kuuzungumzia ukweli wenye maslahi kwa taifa.

matusi si busara na wala si njia sahihi ila nguvu ya hoja. bila mwakilishi wa ccm kuwepo hakuna balance.
 
Duh! Lisu kaamua kuwataja maaskofu kwa majina sasa... I like huu uwazi, wa kuweka kila kitu hadharani
 
Changamoto ya ccm ni kupata 2/3 ya wabunge maalumu haswa Zanzibar ,kwahyo ccm kupata hiyo idadi ni kuwa karibu na wajumbe 201 ndo pendekezo lao walilotoa kwenye vikao vyao-Lissu
 
Tundu Lisu kaamua kupayuka na kulazimisha kwa mfano viongozi wa dini kuwa ni CCM!!
 
Kwanini tuandikie mate na wino upo, njoo tutunge katiba twende kwa Wananchi tuone nani ataungwa mkono.
 
amewakashifu viongozi wa dini na kusema kuwa wamekula rushwa!: tena kawataja kwa majina wakiwemo maaskofu na masheikh!
 
Back
Top Bottom