Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

kuna wanywa viroba wa ukawa kazi yao ni kuzomea tu,,fyuuuuu zao
 
Acha kutumika badilika na kuwa na upeo haya yaliongeleka na kwann waliamua kufanya kikao cha kanuni wakati washiriki wengine hawapo acha kuleta siasa hapa kumbuka ".... Mtaji wa mwanasiasa na watu na ikiwezekana na maisha ya hao watu..." Acha kutumika wewe

Jenga hoja, ndugu zako wa UKAWA walitoka kwa utashi wao hivyo hakukuwa na sababau yoyote kuwasubiri
 
Mnaofuatilia huyo Wassira anashuka pointi gani?
 
Chagadema wameanza nguvu ya umma katika mdahalo wanafanya fujo ili Mh wasira asiwaadhiri ukawa. Kweli njia ya waongo fupi!; LISU kalowaaa! anatumia watu kufanya fujo.

Mkuu wamezoea mobilization ya ghiriba hawa - wasira kawashika pabaya. genge lililomo kwenye mdahalo linaanza kutotumia kichwa badala yake Moyo. Bravo WASIRA Ng'ombe hazeeki maini
 
Muafaka kwa UKAWA ni kurudi mjengoni, vinginevyo wananchi tutawaelewa nyie ni kikwazo cha kupata katiba bora!
 
Honestly, huyu mzee hajielewi au haelewi anacho kiongea. Naomba niishie hapo.
Angalizo: "Ni nani anakwamisha mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya"???
 
Back
Top Bottom