Ni kweli, iikuwa nje ya box. Hapa inatakiwa TFF watumie busara kama za ligi nyingine. Pale refa hana la kujibu kutokana na mahali alipokuwa wakati tukio lilipotokea.
Hizo sio fujo wanashangalia kwa style nyingine kwani tatizo hawakuja na bendera za kutosha wameamua kung'oa viti ili wanyanyue juu kushangilia (wamejisahau wakadhani viti havina gharama kama matawi ya miti ndio ffu wameingilia kati)
Furaha ikizidi yote wanasahauHeheh wangevua fulana, mashati au suruali ndio wazitumie kama mbadala wa matawi ya miti...
Unataka wabatilishe matokeo?...
Kikawaida refa ndo huadhibiwa lakini matokeo hubaki kama yalivyo...
Hii inanikumbusha mechi ya Yanga na Coastal ambapo muamuzi Sanya alitoa penati yenye utata kwa Coastal na baadae kufungiwa..
Wana Simba walishadadia sana penati ile ya Yanga na Coastal, leo yamewakuta wanalialia tu...
Wazee wa sare...Hongereni sana, shangilieni basi na sare hii kama mlivyofanya kwa Yanga..
Simba wamechoka...
Simba wanakoswaaaa....mpira unagonga besela lohhh
simba wamepiga kambi langoni mwa kagera
Simba ni wazee wa kuchomoa. Wakianza kuchomeka huwa kinachomolewa halafu kikichomekwa kwao hukatikia humo humo.
Teh teh teh teh teh teh!Wamechelewa hao kagera kibano kipo pale pale
yani leo nimekosa mautamu balaa.any way,updates please.dk ya ngapi hapo taifa wakuu.