Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Wameuza wapi wewe? Mnaaanza kutafuta sababu ya kukata rufaa ushindi wetu wa leo.......Kagera anapigwa bao tatu na zote anapiga Tambwe.

Nimesikia na nimeambiwa mmebahatisha.
 
Simba wanakoswaaaa....mpira unagonga besela lohhh
 
Hawa Kagera wanajitahidi sana kumiliki mpira, na Kibadeni asipokaa vizuri na vijana wake hii mechi ngumu sana.
 
messi anafanya kazi kubwa alafu anakosa maarifa
 
Kwani ni nani anashikilia kiatu cha ufungaji bora michuano ya kagame? Acha wivu mkuu , na wenye nafasi yao wanarudi pale juu

Kagame Cup iliyofanyika Darfur, timu ngapi bora hazikushiriki? Mwerevu katika vipofu ni yule mwenye jicho moja.
 
Back
Top Bottom