Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Hatulipi bhana,,,,,,atalipa refa aliyesababisha vurugu.

Huo uwanja umejengwa kwa kodi tunazolipa kupitia mishahara yetu kiduchu, kama refa kawaudhi kwa nini msimpe kichapo kama wenzenu tulivyomchapa Israel Nkongo? Mnang'oa viti vimewakosea nini? Vimebeba harufu chafu ya vinyeo vyenu muda wote wa mchezo halafu mnaving'oa mwishoni! Mlaaniwe kabisa SSC, huu ni ushamba uliopitiliza.
 
Huyu refa matatizo kweli, kwanza muda ulikuwa umeshaisha, pili jamaa amekwatuliwa nje ya 18, anyway yeye ndo mwamuzi wa mwisho.

Mkuu ilikuwa ni dakika ya mwisho kabisa kati ya zile za nyongeza...

Ishu hapa labda ni hilo la faulo kuchezwa nje ya 18...
 
Droo zingine mlikuwa mnashangilia, imekuwaje droo ya leo mmefanya fujo!
 
Huo uwanja umejengwa kwa kodi tunazolipa kupitia mishahara yetu kiduchu, kama refa kawaudhi kwa nini msimpe kichapo kama wenzenu tulivyomchapa Israel Nkongo? Mnang'oa viti vimewakosea nini? Vimebeba harufu chafu ya vinyeo vyenu muda wote wa mchezo halafu mnaving'oa mwishoni! Mlaaniwe kabisa SSC, huu ni ushamba uliopitiliza.
duuuuh. nimecheka sana. ila simba serious walichofanya si cha kiungwana.
 
Mkuu ilikuwa ni dakika ya mwisho kabisa kati ya zile za nyongeza...

Ishu hapa labda ni hilo la faulo kuchezwa nje ya 18...

Mkuu wakati refa anatoa penati ilikuwa dakika ya 90+4 na sekunde kadhaa na zilikuwa zimeongezwa dakika nne tu, labda kama naye aliamua kuongeza za kwake zaidi ya zile nne, na faulo ilikuwa nje ya 18, lakini hata hivyo Kagera walicheza vizuri pamoja na kupewa penati na wangekuwa makini wangeweza kupata magoli ya mapema mbali na hilo la penati, nadhani Owino aliwazidi umakini kina Themi Felix.
 
Messi yupi ndg yangu? Nadhani majibu yamepatikana. Ng'oeni hata paa kwan huenda limesababisha shida
 
Huo uwanja umejengwa kwa kodi tunazolipa kupitia mishahara yetu kiduchu, kama refa kawaudhi kwa nini msimpe kichapo kama wenzenu tulivyomchapa Israel Nkongo? Mnang'oa viti vimewakosea nini? Vimebeba harufu chafu ya vinyeo vyenu muda wote wa mchezo halafu mnaving'oa mwishoni! Mlaaniwe kabisa SSC, huu ni ushamba uliopitiliza.
Makoye Matale,,,,,,,,,haya matusi sasa.
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli haikuwa penati halali kabisa, mwamuzi amefanya upapuchi
 
Nilikua sijawah kumuona themi felix hata siku moja. Leo nimemuona na ni mkali kuliko hawa wenu wa kariakoo kina bahanuzi.
 
Back
Top Bottom