Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Za kucha... vp penalty ni halali...maana muamuz asije fungiwa mwaka
Kiuhalisia faulo imefanyika nje ya 18yds, mwamuzi alikuwa mbali, hakuwa na jinsi zaidi ya kuamua ipigwe penati. Ile ni human error, Azam TV walipoonesha slow motion Wazee wakaona vurugu zikalipuka, Azam TV wamekosea sana, makosa kama yale huwa hayarudiwi, yana madhara kwa binadmu na mali. Wajifunze kwa SuperSport.