Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
kiiza endelea kusubili
Bikira yenu kaitoa nani?
kiiza endelea kusubili
Kagera wameuza mechi tangu jana, sitashangaa matokeo
Tukutane kipindi cha 2 ngoja nipige funda kadhaa za maji hapa...
Wow! Good news
Kagera wanaruhusuje goli!?
Kagera wameuza mechi tangu jana, sitashangaa matokeo
Yanga waliruhusije yale matatu kurudi??
Pamoja na kuongoza kwa goli moja lakini timu ya Simba haijacheza vizuri sana kipindi cha kwanza, kuna pasi nyingi sana zinapotea, nimefurahishwa na madogo watatu wa Simba ambao ni Ramadhani Singano, Jonas Mkude, Said Ndemla wanakaba vizuri na pasi zao nyingi zinafika kwa mlengwa, pia hata Amis Tambwe anacheza vizuri anamiliki mpira, Mwombeki anapoteza sana pasi lakini anajitahidi kukaba. Kipindi cha pili inabidi mabeki waimarike sana hasa mabeki wa pembeni Said Chollo na Issa Rashid, Joseph Owino na William Lucian nao waongeze umakini ili kumlinda bwana mdogo Abuu Hashim ambaye anaonekana kukaa imara sana kwenye lango la timu yake.
Pamoja na kuongoza kwa goli moja lakini timu ya Simba haijacheza vizuri sana kipindi cha kwanza, kuna pasi nyingi sana zinapotea, nimefurahishwa na madogo watatu wa Simba ambao ni Ramadhani Singano, Jonas Mkude, Said Ndemla wanakaba vizuri na pasi zao nyingi zinafika kwa mlengwa, pia hata Amis Tambwe anacheza vizuri anamiliki mpira, Mwombeki anapoteza sana pasi lakini anajitahidi kukaba. Kipindi cha pili inabidi mabeki waimarike sana hasa mabeki wa pembeni Said Chollo na Issa Rashid, Joseph Owino na William Lucian nao waongeze umakini ili kumlinda bwana mdogo Abuu Hashim ambaye anaonekana kukaa imara sana kwenye lango la timu yake.
Niko toka page ya pili, usiponiona jukwaani jua kwamba nimebanwa na wakoloni au Muhongo amechukua umeme wake na kisimu changu cha kichina hakina chaji au niko uwanjani live na huko mara nyingi huwa nakuwa busy kushangilia.Naona mkuu ndio taratibu unajisogeza jukwaani kama jua la asubuhi linavyochomoza angani...
Amis tambwe straika bora kwa sasa Africa mashariki na kati, what a goal
wanapigwa wa kina nani hao mkuu?
wamefanya nini?
Kuna madogo kama Christopher Edward huyu anakasi tatizo ana mbwembwe nyingi, kuna Abdallah Seseme bahati mbaya ni majeruhi na huyu Haruna Chanongo naye kapelekwa kikosi B lakini wangekuwepo pengine kasi ya Simba ingekuwa kubwa zaidi na wangeweza kuwachanganya mabeki wa Kagera hivyo kumpatia Tambwe nafasi ya kupata magoli zaidi.mkuu Mombeki ni mzito sana anashindwa kwendana na kasi ya vijana wa matola
Sema Mkuu kwa kuwa mtumishi wako anasikia.
Amis tambwe straika bora kwa sasa Africa mashariki na kati, what a goal