pamoja na uvumilivu, lazma uelewe kuwa kila mtu katika hii dunia anachoka haswa kwenye
swala la kusubiri, sasa yeye tokea jana yuko hapa anasubia asikie jibu lako
na akukabidhi rasmi moyo wake
uburudike pamoja naye hivi.
Penzi la kweli liko kwake, yote haya aliyasema mwenyewe jana hapa...