Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Nimemtukana kimoyomoyo huyo aliesema hivo...
Wewe... hebu njoo PM asap.... kuna jambo la kifamilia.
Nimemtukana kimoyomoyo huyo aliesema hivo...
baba mkwe mi nilimaanisha mke wangu kamkwaza kwa lipi?
Nimekaa hapa tangu jana sijabanduka na sijamuona
Yupo wapi??
Mwanangu unavyofunguka.......? duh...!?
Mtu single kama mimi nafurahi sana
napoona relationship zinazaliwa na kuyeyuka
charminglady naomba uni pm mpenzi
mke wangu kwa kukwaza kwa lipi?
yuko wapi? usijibane best upendo wa Excel ukimwagikia chini utautafuta kwa tabu ujue...
Yaani wewe ndo mkwe wangu???? kaaaaazi kwelikweli.
unaona enhee tatizo nimepanga baba mwenye nyumba akigundua nimenunua solar ntapewa notis ya mwez mzima kujisomea then out
baba mkwe mi nilimaanisha mke wangu kamkwaza kwa lipi?
Ninaye bhana acha kutaka kujua yuko wapi yeye huwaga atembelei maeneo haya
na huwaga ni mpole sana hivyo hawezi makeke ya huku cc na ukitaka kumjua
vuta subira utamfahamu tu kwanini unakuwa na kiherehere hivyo
Excel ana neno kwangu mwache avumilie kwani mvumilivu hula mbivu