duh nimecheka pekeangu...namwona tu akiwa anahutubia haa kanisani kumbe hawahutubii, akihubiri lakini hapana namwona akiwa anaongoza misa! Enhee nikafanyaje huko?
duh nimecheka pekeangu...namwona tu akiwa anahutubia haa kanisani kumbe hawahutubii, akihubiri lakini hapana namwona akiwa anaongoza misa! Enhee nikafanyaje huko?
duh nimecheka pekeangu...namwona tu akiwa anahutubia haa kanisani kumbe hawahutubii, akihubiri lakini hapana namwona akiwa anaongoza misa! Enhee nikafanyaje huko?[/QU
duh nimecheka pekeangu...namwona tu akiwa anahutubia haa kanisani kumbe hawahutubii, akihubiri lakini hapana namwona akiwa anaongoza misa! Enhee nikafanyaje huko?[/QU
Yaani acha tu na hivi nishapata amri kutoka kwa kizaa chema, anataka gari jipyaaaaaa! eti lile nililomnunulia amelichoka, sasa kwa mchakamchaka huu nitakuwa na muda na mchepuko kweli?
Yaani acha tu na hivi nishapata amri kutoka kwa kizaa chema, anataka gari jipyaaaaaa! eti lile nililomnunulia amelichoka, sasa kwa mchakamchaka huu nitakuwa na muda na mchepuko kweli?