Sembeta jr
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 805
- 367
Shkamoo!!
we binti naomba nitafutie lady docta uniletee hapa haraka . . . .mwambie anatafutwa na mie tiransipota au mtu wa pwani......
Shkamoo!!
Chagua mwenyewe mkuu.
Kuna kina Lady doctor, Chocs hawa wanatosha upime uwezo wako.
Mkienda sawa rudi upate zawadi yako.
we binti naomba nitafutie lady docta uniletee hapa haraka . . . .mwambie anatafutwa na mie tiransipota au mtu wa pwani......
Ngoja nimsake,andaa malipo lakini
Kataa rushwa..malipo kwenye kumpa mwenzio utamu?
Mbona haji sasa?
Kataa rushwa..malipo kwenye kumpa mwenzio utamu?
Whats up..
U hali gani?
mwenyewe nnashanga......au yupo michepukoni labda...hahaha....
Ngoja nimsake,andaa malipo lakini
Wewe nakutafuta.
Haya nimejileta
Nami natangaza nia na tafua cngo lady
I love u my shemeji uko powa lakini?