excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
ohooooo taratibu king Excel anzia chini na kavitz kwanza si wawajua wana cc wasije sema wauza sembe china
ooh no! haiwezekani malikia! hivi itakuwaje uingie kwenye jumba langu la kifalme na kigari cha laki moja?
hii naipinga.. ntaipinga mpaka mama mkwe Lady doctor nae ajue!!!!!! itakuwa aibu sana!!
Last edited by a moderator: