Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,723
Wanabodi

Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026

View: https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx

Karibuni
Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za mwaka mpya.

Happy New Year!
Paskali
Kufuatia ujio wa fani ya uchawa, ukimtaja tuu Rais Samia kwa jambo lolote, unaitwa chawa wa mama,
Naomba ku declare interest
Rejea za mtoa mada kuhusu Rais Samia kabla hata hajawa Rais wa JMT. Tulianza nae toka 2010
  1. New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
  2. Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
  3. Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
  4. Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
  5. "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
  6. Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
  7. Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
 
Hana jipya huyu kimama,sijajua malaika mtoa roho anafanya kazi gani,huyu jini mnyonya damu hakupaswa hata kuiona 2026 hata kwa dakika Moja.

Damu za watu 10,000 zimuandame yeye na uzao wake

Hizo salamu za mwaka mpya akawape watoto wake na mume wake. Watanzania wapi hao ambao anawahutubia wakati walimukataa kwenye sanduku la kura na kuamua kuwauwa.
 
Back
Top Bottom