Unaijua vizuri mbamba bay au unaweweseka we gamba hivi kama unaelekea mahakama ya mwanzo kuna nini.....usiongee usichokijua nyau we...muulize ndg ya Butola aliyekuwa anabisha bisha jana hapa kwa hoja dhaifu...mwambie atokee na hapa baada ya kuwa mkutano umeshafanyikahuo mlima umetoka wapi wakati uwanjani hapana mlima, hii inaonesha ulivyo bingwa wa kuchakachua mkuu!
Ujinga wa wananchi ndio shamba la chadema
safari ya juzi ya jk ni ya 358
hiki chama kinanifurahisha huwa hakiishiwi mipango hata, Hakiishiwi rasilimali watu pia, wasaliti wameondoka sasa hivi kimekuwa chepesi kweli.
mleta mada nakupa hongera ila picha zako hazina kiwango na hazichukui eneo kubwa la mkutano