Live: Kutoka Mbamba bay mkutano wa Dk. Slaa

Live: Kutoka Mbamba bay mkutano wa Dk. Slaa

Kufeli shule kitu kibaya sana, una chopa tatu, wakati huna pakuzipaki, una wafanyakazi huna ofisi miaka yote mnaishi nyumba iliyokuwa guest house. Chadema ni kipindupindu kwa taifa.
Hapo sasa unakosea, najua wewe unataka ruzuku ijenge ofisi alafu chama kishindwe kuwafikia wananchi, ukijenga ofisi nzuri wakati chama akiendi kwa wananchi utakuwa umefanya la maana ?
 
Wananchi wagumu kubadilika; yaani hawajashtukia ccm kua wameshindwa? Au wanadhani ccm watasema jamani tumeshindwa kuongoza nchi!
 
JK hapaswi kulaumiwa walaumiwe waliomchagua yeye na chama chake kukipa dhamana ya kuongoza nchi
 
Doctor akifika lazima wagonjwa wapone na ukiona mgonjwa analia ujue sindano imeingia pahali yake?

Wapi mgonjwa Msalani,Lukosi,Bibie Faizer Fox na akina Ritz.

People................
 
Nachoshukuru ni kitu kimoja tu,wewe ulikuwa chadema kwa kazi maalumu na baada ya mipango yenu kusanukiwa ukajifanya kujiondoa cdm wakati hata kadi ya uanachama huna na sasa unatapatapata tu hujui hata ushike lipi uache lipi,mara unatetea ccm mara mzuki wa nccr umeingia live,kifupi mafanikio ya cdm YANAKUUMIZA angalie usije jionyoga tu

kamanda jikite kwenye mada tu , huyo fukara wa kipato asikusumbue , KUNA TETESI KWAMBA AMEDHULUMU MADEREVA WA BODA BODA WA TEMEKE MIKOROSHINI , AKISHIRIKIANA NA KAMBAYA , KUNA HATIHATI AKABURUZWA MAHAKAMA YA MWANZO hivi karibuni .
 
Hivi huyu mzee huwa haogopi kuanguka na ndege anavyopenda kukaa hewani kama njiwa,basi sawa asante kwa taarifa
 
Leo Dr. Slaa akizungumza na wa Mbamba bay amesema safari ya mwisho ya JK ilikuwa ni ya 358.

Kama safari za JK zimefikia 358, yaani jumla yake ni karibu sawa na siku za mwaka mmoja; na kama tukisema kuwa katika kila safari alitumia siku 2 tu huko nje, basi ni sawa na kusema kuwa ha.tu.ku.wa na raisi kwa miaka miwili katika miaka minane ya JK ikulu. Kwa lugha nyingine:
based on my assumption that JK spent only 2 days in each trip, basi ni sawa na kusema kuwa, asilimia 25% ya muda aliokaa JK ikulu ameutumia angani (nje ya nchi).
mkuu hii ni hatariiiii!!!!inawezekana anataka kuandikwa ktk kitabu cha GUINESS
 
Hizi chopa tumezizoea hazina jipya kabisa wacha tuwasanifu kwa kiasi kikubwa hawana jipya hawa chadema wamepoteza kwa kiasi kikubwa.
 
Roho za watu wengi hazipo huru, wanaoongea ni wengi wanaopiga hela hapo chadema ni wawili..

kwa hiyo ulitaka swahiba wako zitto awe wa tatu miongoni mwa wawili wanaopiga pesa cdm?!
 
Hapo sasa unakosea, najua wewe unataka ruzuku ijenge ofisi alafu chama kishindwe kuwafikia wananchi, ukijenga ofisi nzuri wakati chama akiendi kwa wananchi utakuwa umefanya la maana ?
Wewe unajua kazimya ruzuku kweli ndiyo maana mnaamniwe jielimisheni kwanza kabla ya kufanya lolote ona unavyotia aibu sasa.
 
Safari yetu imekuwa ngumu na ndefu yenye vikwazo na mitego mingi sana! lakini nimengi tumeyapitia na kuyashinda. Kwa sasa IKULU Imeanza kuonekana wazi kwa CDM.Hakika safari hii ni ya ushindi japo wapo tulio wapoteza lakini malengo yatatimia! Niwakati wakuunganisha nguvu kuliko wakati mwingine wowote kwa sasa ccm nisawa na mlevi ambaye kumudondosha ni kazi nyepesi sana !
 
Leo Dr. Slaa akizungumza na wa Mbamba bay amesema safari ya mwisho ya JK ilikuwa ni ya 358.

Kama safari za JK zimefikia 358, yaani jumla yake ni karibu sawa na siku za mwaka mmoja; na kama tukisema kuwa katika kila safari alitumia siku 2 tu huko nje, basi ni sawa na kusema kuwa ha.tu.ku.wa na raisi kwa miaka miwili katika miaka minane ya JK ikulu. Kwa lugha nyingine:
based on my assumption that JK spent only 2 days in each trip, basi ni sawa na kusema kuwa, asilimia 25% ya muda aliokaa JK ikulu ameutumia angani (nje ya nchi).

REKEBISHA KIDOGO , ni KWAMBA HAJAWAHI KUKAA CHINI YA SIKU TATU , AMEISHI UGHAIBUNI FOR THREE DAYS PLUS , FANYA UTAFITI .
 
Back
Top Bottom