Leo Dr. Slaa akizungumza na wa Mbamba bay amesema safari ya mwisho ya JK ilikuwa ni ya 358.
Kama safari za JK zimefikia 358, yaani jumla yake ni karibu sawa na siku za mwaka mmoja; na kama tukisema kuwa katika kila safari alitumia siku 2 tu huko nje, basi ni sawa na kusema kuwa ha.tu.ku.wa na raisi kwa miaka miwili katika miaka minane ya JK ikulu. Kwa lugha nyingine: based on my assumption that JK spent only 2 days in each trip, basi ni sawa na kusema kuwa, asilimia 25% ya muda aliokaa JK ikulu ameutumia angani (nje ya nchi).