Lissu soma nyakati, na ukae kimya

Lissu soma nyakati, na ukae kimya

kuwa mpinzani ktk nchi za Afrika ni kujitoa muhanga maisha yako!! so tundu lisu kishajitoa muhanga wala usishangae coz analala lupango kwa ajili yetu wanyonge!!
 
kuwa mpinzani ktk nchi za Afrika ni kujitoa muhanga maisha yako!! so tundu lisu kishajitoa muhanga wala usishangae coz analala lupango kwa ajili yetu wanyonge!!

Mdogo wangu unakuwaje mpinzani usiye na staha.Unauzaje utu wako na imani yako kisa uonekane mpinzani? ustaarabu maana yake nini? Siku zote najua upo vzr kichwani, maneno haya maana yake nini na ni kwa ajili ya nani "What matters is not what you say but how you say it".
 
Mdogo wangu unakuwaje mpinzani usiye na staha.Unauzaje utu wako na imani yako kisa uonekane mpinzani? ustaarabu maana yake nini? Siku zote najua upo vzr kichwani, maneno haya maana yake nini na ni kwa ajili ya nani "What matters is not what you say but how you say it".
wakati mwingine tunahitaji kumkaripia sijonze maana haikii wala haambiliki
 
Tanzania ina vilaza sana, ila shida yote wanaileta mashemeji zao wanaowatunza hawa vijana mjini.

Hivi kweli kijana unayeamka asubuhi ukatafte chakula na hela ya matumizi unaweza andika utumbo kama huu?

Unashangilia mtu kukamwatwa na ni ruhusa kikatiba??
 
Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
Udikiteita hauna siasa za namna gani ni kuupinga. amesema atanyamaza akifa. Swax, hili ulione kama jirani anweza kuja kumchukua mke wa baba yako , na baba yako asema, "Bwana nyakati hizi siasa za zimebadirika" nadhani unanielewa. Mtakubali nyinyi watoto jirani afanye hivyo?
 
Udikiteita hauna siasa za namna gani ni kuupinga. amesema atanyamaza akifa. Swax, hili ulione kama jirani anweza kuja kumchukua mke wa baba yako , na baba yako asema, "Bwana nyakati hizi siasa za zimebadirika" nadhani unanielewa. Mtakubali nyinyi watoto jirani afanye hivyo?
Kama hawezi nyamaza basi anayopitia amejitakia!
yanini tuanze kumpigania mtu ambaye anajua kitu anachokifanya mwisho wake ni kukamatwa

Kwa sasa atulie tu maana hili dikteta halisikilizi mtu na halihitaji kukosolewa
 
Tundu Lissu kalilia wembe kwa muda mrefu Sana. Ni wajibu wa serikali kumuachia wembe huo ili umkate ajue madhara yake,.Hongereni serikali.

Asubiri Wazungu wamtete kwa kudhihaki serikali na Rais

Sent using Jamii Forums mobile app
Inatakiwa apigwe mahabusu ata miezi mitatu kama alivyofanywa yule wa Arusha
 
Kama hawezi nyamaza basi anayopitia amejitakia!
yanini tuanze kumpigania mtu ambaye anajua kitu anachokifanya mwisho wake ni kukamatwa

Kwa sasa atulie tu maana hili dikteta halisikilizi mtu na halihitaji kukosolewa
Ukinyamaza ndio tumekwisha, kuna siku litasikia. Akina Nyerere, Mandela wangeliogopa makaburu, tungelikuwa wapi. Ni kupaza kelele. Akifia jela ajue dunia itamwandama.
 
mkuu, Lissu kwa sasa ni taasisi kamili kwa muktadha tuliomo sasa.
akinyamaza Lissu, mawe yatainuka na kupigania kile kile anachokipigania huyu shujaa wetu!
Mawe yakamtoe sasa
 
Ukinyamaza ndio tumekwisha, kuna siku litasikia. Akina Nyerere, Mandela wangeliogopa makaburu, tungelikuwa wapi. Ni kupaza kelele. Akifia jela ajue dunia itamwandama.
Muda wake unakomea 2020

Tusubiri tumng'oe kwa kura nyingi za ndio, ila kwa sasa akae kimya tu
 
Muda wake unakomea 2020

Tusubiri tumng'oe kwa kura nyingi za ndio, ila kwa sasa akae kimya tu
Rafiki, siyo Tanzania. Unaona Warundi wa Kigoma yanavyomshangilia huko Kigoma. ni kupaaza sauti kuanzia sasa.
 
Mandela 27 yrs itakuwa selo
Weusi wa South Africa waliandamana na kusonga mbele huku kaburu akiwapiga na risasi za moto na kuwaua mamia kwa mamia ya waandamanaji,lakini pammoja na kuuwawa hawakukimbia wala kukata tamaa walizidi kuimba tu na kuendeleza maadamano nchi nzima hadi kaburu akasalimu amri.
Kwetu wanaomuunga mkono Lissu hata kumuamkia akiwa gerezani hawaendi,siraha yao ni cheap tweets,ndio UNAFIKI UCHWARA
 
Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakati hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyombo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
Kila mTanzania anajuwa Lisu anasimamia maslahi ya nchi lakini magufuli kwa u kabisa na kuvunja sheria matumizi mabaya ya fedha za umma na u kabisa hataki kuambiwa alimnyamazisha Ben wengine wanaibuka lissu a naangalia na umoja wa mataifa kama mumepata kumtesa
Kilaza ktk ubora wako
 
Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakati hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyombo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
Mkuu it's high time muelewe Lissu vizuri,kama umeshindwa kumwelewa bora ukae kimya kuliko kujianika wazi wazi kwamba hujamwelewa,pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom