Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 974
Akikaa kimya mjomba anko akawa kagame nani atamfunga breki... muache ampunguze speed ili atupishe aache kutuharibia country bure
Atakaaje kimya wakati analipwa na mabwana zake kuhakikisha ana destabilize nchi, kwa iyo ndio maana unaona anajitoa faham. Wacha aendelee kuwalia hela huku akisota rumande, anadhani matamko yake yatabadilisha kitu, atabadilishwa yeye.
Hopeless kabisa wewe, matusi yako wapi hayo unayo yasema? Na sisasa za kistaarabu ni zipi, kama mnawakamata hata wakiwa kwenye mikutano ya ndani??......Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?
Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi
Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
Siasa siyo sare hadi wote mvae vinavyofanana. Pia tambua kuwa TL siyo mwanasiasa ni mwanaharakati na msomi. Huwezi kuwa mwanaharakati kama kichwani kwako ni kweupe pee.Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?
Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi
Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
Tanzania hii kweli katika watu wanne mmoja chizi! Mjinga akiamini embe ni apple hata umuelimishe namna gani hata kuelewa atabaki na imani yake hiyo hadi lioze ndio atagundua ukweli.Atakaaje kimya wakati analipwa na mabwana zake kuhakikisha ana destabilize nchi, kwa iyo ndio maana unaona anajitoa faham. Wacha aendelee kuwalia hela huku akisota rumande, anadhani matamko yake yatabadilisha kitu, atabadilishwa yeye.
Za kuambiwa changanyeni na zenu nyie viazi wa Lumumba!Atakaaje kimya wakati analipwa na mabwana zake kuhakikisha ana destabilize nchi, kwa iyo ndio maana unaona anajitoa faham. Wacha aendelee kuwalia hela huku akisota rumande, anadhani matamko yake yatabadilisha kitu, atabadilishwa yeye.
Mkuu nimepata taarifa kuwa kuna vijana tena wasomi tuu huko UVCCM kutokana na ugumu wa maisha wanatumikishwa kupotosha mambo kwa ajili ya posho ya kujikimu katika mitandao.Hata mimi ningekuwa na madaraka halafu nikutane na mtu ananiambia ukweli tena hadharani kama Lissu ningemfanya kitu mbaya. Kisha najitahidi kuweka wapambe kupotosha alichosema kwani najua wengi ni wajinga na hata kama si wajinga na ni waelewa lakini ni waoga. Ila rohoni ukweli wake utaendelea kunitesa.
Kile usicho penda utendewe wewe basi usiwatendee na wenzioAtakaaje kimya wakati analipwa na mabwana zake kuhakikisha ana destabilize nchi, kwa iyo ndio maana unaona anajitoa faham. Wacha aendelee kuwalia hela huku akisota rumande, anadhani matamko yake yatabadilisha kitu, atabadilishwa yeye.
Huenda akafa kishujaaHujamsikia lately katika social networks anasema kifo ndo kitamnyamazisha na si vingine
Ni kweli, pia Tz hii hii, kati ya watu wanne, mmojawapo ni nyumbu, hata ulieleweshe vipi atabaki na msimamo wake, ndio maana yanaliwa sana na mamba.Tanzania hii kweli katika watu wanne mmoja chizi! Mjinga akiamini embe ni apple hata umuelimishe namna gani hata kuelewa atabaki na imani yake hiyo hadi lioze ndio atagundua ukweli.
Ila nagu hakulala selo
Basi bora Magufuli aendelee madarakani, sababu sijaona kitu mbaya alofanyiwa Lisu, kama kweeli unaelewa kitu mbaya ni nini. Nyinyi wengine ndio mngemtoa uhai kabisa.Hata mimi ningekuwa na madaraka halafu nikutane na mtu ananiambia ukweli tena hadharani kama Lissu ningemfanya kitu mbaya. Kisha najitahidi kuweka wapambe kupotosha alichosema kwani najua wengi ni wajinga na hata kama si wajinga na ni waelewa lakini ni waoga. Ila rohoni ukweli wake utaendelea kunitesa.
Nini ya mahabusu uwe umelala iwe dakika moja unatoka je umeingia mahabusu au?huo ndo upumbavu wenu wa kutokujitambua,kwakuwa mmekuwa kama makondoo.Ila nagu hakulala selo