Lissu soma nyakati, na ukae kimya

Lissu soma nyakati, na ukae kimya

Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika



uchu wa madaraka tu kajawa hana lolote
 
Basi bora Magufuli aendelee madarakani, sababu sijaona kitu mbaya alofanyiwa Lisu, kama kweeli unaelewa kitu mbaya ni nini. Nyinyi wengine ndio mngemtoa uhai kabisa.

Atawale hata milele, lakini hana hoja zenye ushawishi wala mvuto. Zaidi ni jazba na nguvu na kwenye maisha yetu ndio hali imezidi kuwa mbaya. Kwahiyo atawale asitawale hatujali ila anaharibu maisha yetu kwa sera zake mbovu.
 
Waliwekwa sero kina lijualikali, lema , bulaya , mdee l, Lowasa , mashinji na wengine wengi kina kubenea na mwita na kina Mandela ila wakatoka na siasa zikaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hakuna za sheria za kumfunga, ni kumpotezea muda tu, Lissu anapokamatwa hilo ndo huwa lengo lake, leo ni siku ya tatu media zote zinamzungumzia yeye, huoni kwamba kisiasa hiyo ni trick? Huoni kwamba kina zitto baada ya kupotea kisiasa anatafuta upenyo nae wa kuzungumziwa? Lissu ameshawaambia kama jamaa yenu sio dictator uchwara aende mahakamani akathibitishe hilo kwamba sio uchwara bali ni dictator kamili. Wanasheria wote duniani waliokomaa hutumia lugha ya kukera ili upanic ufanye pumba, kuwazuia wapinzani wasifanye siasa na kuwakamata ile ndo siasa yenyewe, kama huelewi elewa leo, unapomkamata mpinzani unampromote kisiasa, ukimuacha akaongea anavyotaka anaweza kukosa hoja na kuongea pumba, ukimkamata umemsaidia kumboost up......!!!! Polisi wanacheza drama ya chadema bila kujua!!!! Lissu is exactly where he wanted to be.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika dunia hii hakujawahi hata Mara moja Dikiteta au fashist yoyote aliye weza kuzima sauti za haki na huruma hasa zinapodaiwa.
Hata Magufuri atashindwa tu
 
Hakuna mahali Lissu alipomtukana Mtukufu sana Rais wa Malaika.Hakuna alichoongea kisicho na ushahidi.

Mara Nyingi hoja hupingwa kwa hoja na so kumuweka mtoa hoja Rumande
_20170721_092319.JPG


May Allah bless Me and You
 
Yani tukiuliza kwann wakuu wote wa mamlaka za juu ni kanda ya ziwa bas mnasema tusome alama za nyakati iv kweli ni hakii hiii nchii hii ni msli yenu ama mtuambie mapema tujue moja
 
Tumeshaambiwa anatumwa...

Anapenda bahasha za khaki sana huyu

Ila kwa uwoga eeeeeeeh... anajua kuongea mdomo mbele kutafuta kiki yakimkuta eeeeeeh kudonoa tu viherufi ka vile mawakili hawana kazi wakimbilie kumuokoa

Anatenda ya siasa kwa kuongea... msaada anawalilia mawakili... hata Chadema hawaamini tena

Jana eeeh akawaeleza mawakili... wachama akawaweka chemba hawana msaada kwake eeeh
Unaongea na sasa na ww
 
Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
nimepoteza bando langu kusoma huu ujinga wako kiswahili chenyewe hujui hata kuandika halafu eti na wewe unajiita mchambuzi wa siasa tanzania
 
Hivi kwa nini hamjibu hoja za Lissu? kazi kutishia tu, oooooh utaozea mahabusu, mara oooooo tutakunyoosha. Yote haya ya nini? Semeni hivi: Lissu kasema Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anatoka kanda ya ziwa, jibu ni kwamba hatoki huko anatoka kanda ya nyanda za juu kusini. Mwanasheria wa serikali hatoki kanda ya ziwa, DPP hatoki kanda ya ziwa, IGP hatoki kanda ya ziwa, n.k. Mnashindwa nini kuleta ukweli tofauti na alichosema LISSU?
 
Tumeshaambiwa anatumwa...

Anapenda bahasha za khaki sana huyu

Ila kwa uwoga eeeeeeeh... anajua kuongea mdomo mbele kutafuta kiki yakimkuta eeeeeeh kudonoa tu viherufi ka vile mawakili hawana kazi wakimbilie kumuokoa

Anatenda ya siasa kwa kuongea... msaada anawalilia mawakili... hata Chadema hawaamini tena

Jana eeeh akawaeleza mawakili... wachama akawaweka chemba hawana msaada kwake eeeh
POINT
 
Chadema inawanachama na viongozi wa juu zaidi ya Tundu lissu, ni nini kinamfanya huyu Lissu ashindwe kutulia na kusoma nyakatu hizi zinahitaji siasa za namna gani?

Kwa namna ya siasa ambazo Lissu amezoea kuzifanya kwa nyakati hizi lazima zitakugharimu na kukupoteza kabisa kabisa katika ramani ya siasa
Siasa zako zimeegemea sana matamko ambayo hulopoka tu pasi kufuata taratibu na unajikutuka uko mikononi mwa polisi huku ukijua wazi unachokifanya ni kinyume na sheria za nchi hii, itakucost saana kwa nyakati hizi

Lissu kwa sasa Tanzania haihitaji siasa za uchochezi na uchonganishi bali tunahitaji siasa safi zenye tija kwa taifa
Sidhani kwa sasa unaweza hata chomoka katika vyimbo vya dola, hii lazima ufundishwe kwamba rais na serikali yake inahitaji kueshimiwa, kaa mahabusu uko akili zikuingie utajua tu nyakati hizi ni siasa gani zinaitajika
mkuu, Lissu kwa sasa ni taasisi kamili kwa muktadha tuliomo sasa.
akinyamaza Lissu, mawe yatainuka na kupigania kile kile anachokipigania huyu shujaa wetu!
 
Back
Top Bottom