johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
😂😂😂🙏Na Mashinji, Polepole ndio alikuwa amebeba kibegi chenye hela yote
View attachment 3371228
😂😂😂🙏Na Mashinji, Polepole ndio alikuwa amebeba kibegi chenye hela yote
View attachment 3371228
Sasa hayo maneno mtamuqmbia Hakimu. Lakini Serikali imekamilisha kazi yake. Na Hakimu atapima ukweli na kutoa hukumu.Tlaatlaal anacheka, umemfurahisha chawa mwenzako. Acheni unazi lissu hakumaanisha uasi wa kupindua nchi
Hapana hawawezi kumtaka hadharani lakini chinichini inafanyika vizuri snSasa ndo wakati wa kujitokeza na kuambia wa fuasi wao kwamba kinachofanyika hakikubaliki waisusue CCM tuone matokeo yake.
dhamira sio matokeo. Kwa Lissu watasanda.Labda mwingine ila sio Lissu.
Leteni Ushaidi sasa MahakamaniHuko ndiyo kumamfaa ili apate uzoefu wa waliohukumiwa kunyongwa. Inawezekanaje kweli mtu kutaka kuanzisha uasi kwa nchi tulivu na ya amani kama Tanzania?
Mwambieni aendelee kula mtori nyama ziko chini!! Uahidi kuanzisha uasi kuharibu uchaguzi halafu SERIKALI ikuchekee tu??? No way
Mwambie atulize makalio, rumande siyo parokiani unachagua kiti cha kukaa. Rumande siyo Makao Makuu ya CHADEMA unakaa kwenye kiti cha kuzunguka na AC. Rumande siyo hoteli unakaa na kuhudumiwa.Akiongea mahakamani leo Tundu Lissu ameeleza kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa lakini anakaa upande wa watu waliohukumiwa kifo katika gereza la ukonga.
"Gereza la Ukonga lina sehemu mbili, kuna sehemu amabayo wafungwa wote waiohukumia miaka 30, mahabusu...... wanatakiwa wakae. Halafu kuna eneo moja linaitwa special wing ambalo wanakaa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa.
Mimi nakaa kwenye hiyo sehemu wanaokaa hao wanaotakiwa kunyongwa"
Aibu kubwa sana, mama ametukata matumaini kabisa sasa anapewa miaska 5 tena nchi itaskua je hapo, mtu anapotezwa hadharani na ndani ya wiki moja watu wanasahau kabisaa, linakuja jipya lya kudandia.Kwasisi ambao tuko nje ya hili taifa la futuhi, kuna wakati mpaka unaona aibu kujitambulisha kuwa mimi ni mtanzania.
Yaan mtu ameanza kutumikia adhabu kabla hajahukumiwa?
Kwa hiyo wakikuuliza unasema wewe Taifa gani? Hebu liseme hapa tulinganishe na TzKwasisi ambao tuko nje ya hili taifa la futuhi, kuna wakati mpaka unaona aibu kujitambulisha kuwa mimi ni mtanzania.
Yaan mtu ameanza kutumikia adhabu kabla hajahukumiwa?
Amewakata matumaini wewe na nani? Usiwasemee wengine, isemee nafsi yako tuAibu kubwa sana, mama ametukata matumaini kabisa sasa anapewa miaska 5 tena nchi itaskua je hapo, mtu anapotezwa hadharani na ndani ya wiki moja watu wanasahau kabisaa, linakuja jipya lya kudandia.
Manaake nchi haina utaratibu unafuata utashi wa kiongozi, don't be a fool reason kama sane person.Mwambie atulize makalio, rumande siyo parokiani unachagua kiti cha kukaa. Rumande siyo Makao Makuu ya CHADEMA unakaa kwenye kiti cha kuzunguka na AC. Rumande siyo hoteli unakaa na kuhudumiwa.
Ukiamua kuwa MWANAHARAKATI mropokaji JIANDAE na mazingira yote utakayokutana nayo.
Sijajua kwanini saa100 asipigwe shab..a akiwa huko Kanda ya ziw..aAkiongea mahakamani leo Tundu Lissu ameeleza kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa lakini anakaa upande wa watu waliohukumiwa kifo katika gereza la ukonga.
"Gereza la Ukonga lina sehemu mbili, kuna sehemu amabayo wafungwa wote waiohukumia miaka 30, mahabusu...... wanatakiwa wakae. Halafu kuna eneo moja linaitwa special wing ambalo wanakaa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa.
Mimi nakaa kwenye hiyo sehemu wanaokaa hao wanaotakiwa kunyongwa"
Mimi na mke wangu, wewe ulitaka nikujumuishe kwani we ni familia yangu. Acha uchawa mwanaume mzima.Amewakata matumaini wewe na nani? Usiwasemee wengine, isemee nafsi yako tu
No never, haiwezi tokea. Mfumo wetu uko vizuri, jiandae kusherehekea ni suala la muda tu haya yote yataisha msela wangu na tutapata kiongozi mwingine atayeomba radhi kama alivyoomba radhi Dkt Samia pale alipoapishwa kuwa rais wa JMT.Mdogo mdogo tunaenda kuwa kama North Korea
Hukumu ya.........KESI YA MAMA
MAGEREZA YA MAMA
MAHAKAMA YA MAMA
ASKARI WA MAMA
HAKIMU WA MAMA
WAENDESHA MASHTAKA WA MAMA
KARANI WA MAMA
KISUTU YA MAMA
Utakufa wewe kwa malaria na Samia wala hiyo shaba hatapigwa. Kila mnapomuombea mabaya mnamuongezea uhai. Amefanya mema mengi kwa kanda ya ziwa. Vichaa kama wewe peno hasegawa hawapo hukoSijajua kwanini saa100 asipigwe shab..a akiwa huko Kanda ya ziw..a
Wewe unataka kutuambia nchi hatuna written constitution na by laws nchi gani mtuhumiwa awekwe kwenye section ya condemn? Hata kama unampenda mama kwa hili kakosea kabisa.Unataka wafuate utashi wa moron Covax? Wasifuate utashi wa kiongozi? That will be banana republic
Usipende kujibu kwa mihemko, soma uelewe..,..Kwa hiyo wakikuuliza unasema wewe Taifa gani? Hebu liseme hapa tulinganishe na Tz
Ushahidi upo subiri tatatibu za MahakamaLeteni Ushaidi sasa Mahakamani