PreGE2025 Lissu: Nimewekwa gerezani upande wa waliohukumiwa kifo kwa kunyongwa

PreGE2025 Lissu: Nimewekwa gerezani upande wa waliohukumiwa kifo kwa kunyongwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Akiongea mahakamani leo Tundu Lissu ameeleza kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa lakini anakaa upande wa watu waliohukumiwa kifo katika gereza la ukonga.

"Gereza la Ukonga lina sehemu mbili, kuna sehemu amabayo wafungwa wote waiohukumia miaka 30, mahabusu...... wanatakiwa wakae. Halafu kuna eneo moja linaitwa special wing ambalo wanakaa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa.

Mimi nakaa kwenye hiyo sehemu wanaokaa hao wanaotakiwa kunyongwa"
View attachment 3371173
Viongozi waislamu mwanatuhalibia nchi
 
Ila watanzania tumekufa kabisaaaa yaani tunashindwa kuona kuwa TL anatupigania tuamue kwa pamoja wamuachie? ,kuna wakati mtu unafikiria ni bora sisi wote tufe labda kinaweza kutokea kizazi cha kuisadia hii nchi na sio sisi tuliopo
Nakuelewa sn mkuu
 
Huko ndiyo kumamfaa ili apate uzoefu wa waliohukumiwa kunyongwa. Inawezekanaje kweli mtu kutaka kuanzisha uasi kwa nchi tulivu na ya amani kama Tanzania?

Mwambieni aendelee kula mtori nyama ziko chini!! Uahidi kuanzisha uasi kuharibu uchaguzi halafu SERIKALI ikuchekee tu??? No way
NRNE , uchaguzi hadi sasa ni ushenzi kama ushenzi mwingine. Kama mlitegemea watu watakubali kuburuzwa miaka yote, basi mmeukalia.
 
Watu sio wajinga na ni wahukumu wa haki!!!
 
Ila watanzania tumekufa kabisaaaa yaani tunashindwa kuona kuwa TL anatupigania tuamue kwa pamoja wamuachie? ,kuna wakati mtu unafikiria ni bora sisi wote tufe labda kinaweza kutokea kizazi cha kuisadia hii nchi na sio sisi tuliopo
Kwanini wewe usife kwanza kwa kumpigania Lissu? Yaani unatuingiza wote kwenye fikra yako??

Hata leo nenda pale Kisutu, zuia gari ya Magereza isipite. Watu kukanyaga then watu watalalamika kwa siku 3 kama walivyolialia kwa Mdude_Nyagali baada ya hapo wanakusahau
 
Nakumbuka Shujaa aliwalipia faini Mbowe na Mchungaji Msigwa 🙏
Na Mashinji, Polepole ndio alikuwa amebeba kibegi chenye hela yote
1000037031.jpg
 
Tunaongozwa na majitu ya hovyo sn
Kinacho uma zaidi ni uoga wa viongozi wa Dini haki za binaadamu RC walionyesha ushupavu walivo tishwa tu huwezi kuwasikia tena Bakwata ni tawi la CCM KKKT alipokea zawadi ya 500m ya mama hawawezi kukemea mahovu kama hayo......wana nchi ndo usiseme hawana mbele au nyuma issue yao kibwa ni Derby ya Simba na Yanga tu, hi nchi ni hopless sanaa. Sema hatuna nchi nyingine pakukumbilia.
 
Kinacho uma zaidi ni uoga wa viongozi wa Dini haki za binaadamu RC walionyesha ushupavu walivo tishwa tu huwezi kuwasikia tena Bakwata ni tawi la CCM KKKT alipokea zawadi ya 500m ya mama hawawezi kukemea mahovu kama hayo......wana nchi ndo usiseme hawana mbele au nyuma issue yao kibwa ni Derby ya Simba na Yanga tu, hi nchi ni hopless sanaa. Sema hatuna nchi nyingine pakukumbilia.
RC haijapoa mkuu inapiga supana balaa
 
Huko ndiyo kumamfaa ili apate uzoefu wa waliohukumiwa kunyongwa. Inawezekanaje kweli mtu kutaka kuanzisha uasi kwa nchi tulivu na ya amani kama Tanzania?

Mwambieni aendelee kula mtori nyama ziko chini!! Uahidi kuanzisha uasi kuharibu uchaguzi halafu SERIKALI ikuchekee tu??? No way
Tlaatlaal anacheka, umemfurahisha chawa mwenzako. Acheni unazi lissu hakumaanisha uasi wa kupindua nchi
 
Back
Top Bottom