Lissu: Natafakari urais 2020

Lissu: Natafakari urais 2020

Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?

Ukiachilia nguvu ya vikosi na taasisi zingine za ukandamizaji, sidhani kama CCM ni giant kama unavyodai hapa, hio ndio fact.
 
Lisu yupi sasa huyu mgonjwa?

Simcheki ila kama ni huyo basi WATANZANIA hatujitambui kabisa.
Kumkataa mtu kwa ulemavu wake si sahihi mkuu. Inawezekana una tatizo maana hata wewe muda wowote unaweza kuwa mlemavu, je ndo tukuondoe au tusikupe nafasi yeyote hata kama una uwezo? Uwe uunafikiria kwanza kabla hujaandika chochote. Usitangulize itikadi kwenye mambo yanayogusa afya ya binadamu mwenzio
 
Mimi naona tubadili mfumo wa kumpata Rais wetu kama ifuatavyo:


1. Kila chama cha siasa kichague majina matano ya wanachama wao wanaotaka kugombea Urais wa nchi. Kwa mfano tuna vyama 20 kwa hiyo tunakuwa na wagombea 100

2. Wagombea wote kwa ujumla wapewe Semina elekezi ya dira ya taifa ya miaka mitano kwa muda wa mwezi mmoja full time kuhusu Mambo ya uchumi, Mahusiano ya kimataifa, Kilimo na ufugaji, uwekezaji nk (Wataalam nguli toka vyuo vikuu nchini na nje ya nchi watoe semina hii muhimu.)

3. Baada ya Semina hii elekezi wagombea wote watapewa mtihani ili kupima weredi wao wa kiuongozi (IQ) pamoja na namna ya kutekeleza hiyo dira ya taifa. (Majibu yanatakiwa kuwa kwenye lugha ya kitaaluma ambayo ni kiingeleza.

4. Majibu yatoke, tupate top 5; ambao hawa ndiyo tutakaowapigia kura; hawa watarudi kwenye vyama vyao kupata baraka za mwisho.

5. Sasa hapo watanzania watakuwa tayari kumchagua Rais wao wa nchi.

Dira ya Kitaifa ya miaka mitano ambayo ninyi mnaita Ilani ya uchaguzi itakuwa imeandaliwa tayari kwa kuwashirikisha wadau wote nchini.
 
Bongo bwana mbona wanasheria wasomi wenzake walimchagua awe rais wao we hta kijiji tu hakiwezi kukuchagua ndio wajifanya kumkejeli..... Mbona jimboni kwake aliifuta ccm yaani vijiji 45 yye alichukua 43 ina maana wale ni wajinga mpaka kumchagua alafu ww ndio wajifanya kuleta dharaua za ajabu
Yote hayo hayamuwezeshi kuwa rais
Yaani urais mmeufanya jambo la mzaha sana
 
Nasikitika sana kwa msomi Lissu kushindwa kubaini kuwa CDM kuna mwenyekiti wa kudumu na mgombea urais wa kudumu. Kwa sababu hiyo basi hafai kwa mchuzi wala kulumagia.
 
Bora ya yeye ni mbishi, lakini mnaona anachobishania kinamanufaa kwa nchi, kuliko huyu ambaye hashauriki
 
Anataka kujichimbia kaburi la kisiasa leval yake ni Ubunge panamtosha
 
Yote hayo hayamuwezeshi kuwa rais
Yaani urais mmeufanya jambo la mzaha sana
Ndio nasema kma mwinyi mkapa hadi kikwete wameweza kuwa marais je itakuwa tofauti gani na lisu akiwa rais maana wewe unamuona anapelea.... Je hao wengine mbona walikuwa mabomu kabisa ila waliweza kuwa marais so whats so hard for lisu??
 
MsemajiUkweli Veteran Lumumba! Wewe yani kila kitu unajua....yani hata matamanio au mipango ya watu wengine wewe ndio unajiona unapaswa kuipitisha kwanza!
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?

Umeandika kishabiki zaidi...
 
Mimi naona tubadili mfumo wa kumpata Rais wetu kama ifuatavyo:


1. Kila chama cha siasa kichague majina matano ya wanachama wao wanaotaka kugombea Urais wa nchi. Kwa mfano tuna vyama 20 kwa hiyo tunakuwa na wagombea 100

2. Wagombea wote kwa ujumla wapewe Semina elekezi ya dira ya taifa ya miaka mitano kwa muda wa mwezi mmoja full time kuhusu Mambo ya uchumi, Mahusiano ya kimataifa, Kilimo na ufugaji, uwekezaji nk (Wataalam nguli toka vyuo vikuu nchini na nje ya nchi watoe semina hii muhimu.)

3. Baada ya Semina hii elekezi wagombea wote watapewa mtihani ili kupima weredi wao wa kiuongozi (IQ) pamoja na namna ya kutekeleza hiyo dira ya taifa. (Majibu yanatakiwa kuwa kwenye lugha ya kitaaluma ambayo ni kiingeleza.

4. Majibu yatoke, tupate top 5; ambao hawa ndiyo tutakaowapigia kura; hawa watarudi kwenye vyama vyao kupata baraka za mwisho.

5. Sasa hapo watanzania watakuwa tayari kumchagua Rais wao wa nchi.

Dira ya Kitaifa ya miaka mitano ambayo ninyi mnaita Ilani ya uchaguzi itakuwa imeandaliwa tayari kwa kuwashirikisha wadau wote nchini.
utaratibu Huo magu hata grade E, hapati
 
Huyo Lissu awe rais wa nchi ipi? Hao Polisi na Usalama wa Taifa anaowategemea kumhakikishia nafasi hiyo ndio anaowatukana matusi ya nguoni kila leo atangoja sana na hatokuja kuwa Rais wa nchi hii zaidi ya TLS, namshauri kama ana lengo hilo awekeane mkataba na chama chake kama alivyofanyaga Dr. Slaaa maana atakosa vyote
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Neno
 
Huyo Lissu awe rais wa nchi ipi? Hao Polisi na Usalama wa Taifa anaowategemea kumhakikishia nafasi hiyo ndio anaowatukana matusi ya nguoni kila leo atangoja sana na hatokuja kuwa Rais wa nchi hii zaidi ya TLS, namshauri kama ana lengo hilo awekeane mkataba na chama chake kama alivyofanyaga Dr. Slaaa maana atakosa vyote
True
 
Back
Top Bottom