Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Hebu mkuu waambie waweke mdahalo kati ya LISSU na Mwenyekiti wao kuhusu nchi inatakiwa ifanye nini kuondoka hapa ilipo waone nani boraHaya yote uliyaandika yanaakisi Mwenyekiti wetu wa Chama Chetu kitukufu sana Chama Cha Majambazi.Pole sana.Ila ukweli utakuweka huru,na muda ni dawa nzuri kwa kila ugonjwa,Dawa kuu ya mgonjwa yote hata magonjwa hatarishi ni Muda na si pesa