Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje
3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu
5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Haya yote uliyaandika yanaakisi Mwenyekiti wetu wa Chama Chetu kitukufu sana Chama Cha Majambazi.Pole sana.Ila ukweli utakuweka huru,na muda ni dawa nzuri kwa kila ugonjwa,Dawa kuu ya mgonjwa yote hata magonjwa hatarishi ni Muda na si pesa