Lissu: Natafakari urais 2020

Lissu: Natafakari urais 2020

hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..

Haya yote uliyaandika yanaakisi Mwenyekiti wetu wa Chama Chetu kitukufu sana Chama Cha Majambazi.Pole sana.Ila ukweli utakuweka huru,na muda ni dawa nzuri kwa kila ugonjwa,Dawa kuu ya mgonjwa yote hata magonjwa hatarishi ni Muda na si pesa
 
Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau.
Hii ndio Tanzania
Naunga mkono hoja, hata 2015, tulishangilia sana, sasa kuna watu wanalia na kusaga meno, lakini 2020, watakuwa wameishasahau na watashangilia tena na kuwachagua watu wale wale, chama kile kile.

Hii ni kwa sababu...
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?
Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Anaweza Kuichagua Tena CCM?!. Kwa Lipi?!.
Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Paskali
 
Tatizo kubwa ni kutokuwa na tume huru tu.Inawezekana matokeo huwa ni tofauti kabisa kama huko Zanzibar.
 
Mie napendekeza agombee tu ili Jina LA Lowasa litoke midomoni Kwa nyumbu!! Lakini yanaitajika hata kwanza

1.mwenyekiti awe Lowassa

Then labda ndo apitishwe kugombea!!

2.Lowassa akihame chama!!

Then Lissu aweza kugombea urais


3.je vyuma alivyowekewa vitakuwa vmetolea? Hatuwezi kumchagua mgonjwa!!

4.ajifunze uzalendo Wa kweli na kuishi anayoyasema kwanza!! Ajifunze kuishi vizuri na majirani !! Aache kumtukan Kagame,Mu 7 nk....

5.aache kuwatukuza wazungu
 
Kwanza hii habari sina imani kama ameizungumza Lissu. Kwa upande wa kuwa Rais anafaa sana kuliko aliyepo. Huyu aliyepo kuna nini amefanikisha Zaidi ya kuanza na kuishia njiani. Hakuna dira lakini wanacheza na media utadhani Ze comedy. Tunamaliza miaka 5 hakuna la maana tulilofikia.

Lissu anatufaa 2020.
 
Lissu akigombea urais,kanda ya kati,kaskazin na kusini wanampa kura za,kutosha za kuwa Rais wa nchi,tutampa kwa kishindo
 
ajiandae kufukuzwa uanachama soon...hata kabla hajapona...nafasi ya urais cdm anaamua mbowe.....
 
Lissu akigombea urais,kanda ya kati,kaskazin na kusini wanampa kura za,kutosha za kuwa Rais wa nchi,tutampa kwa kishindo
sifa za lissu
1. msomi was kweli tofauti nayele aliyenunua PHD

2. mzalendo was kweli tofauti na yule anaigiza uzalendo

3.anajua kingereza hakika ataiwakilisha nchi kimataifa, tofauti na huyu hana confidence kwenye podium ya kimataifa

4. hana kashfa ya ufisadi tofauti na huyu tuliye Naye

6.ni dictator msomi huyu tuliye naye ni dictator uchwara

7.ongezea
 
Huyu Nampa kura Mimi pamoja na nyumba yangu.Mpaka wakat huu huyu ndiye shujaa wangu.ananifundisha mengi sana
 
Labda Ajiandae 2025 ila kugombea 2020 ni kujifuta ubunge kupoteza nguvu bungeni na kusalitiwa na chama chake 2025!..
 
Back
Top Bottom