Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,664
Nitapiga kampen kila dkk
Kwa sababu gani unasema hivyo??Kama.lowassa watanzania walimkataa, lissu hana nafasi kabisa.
Ni haki ya fikra zako kuanzisha matumizi ya nguvu na umwagaji damu lakini usije sema hatukukuonya.Ni kweli ccm haiwezi ondoka madarakani kwa njia za kidemokrasia za kupiga kura, kiuhalisia hakuna chama Cha kijamaa duniani kote kiliwahi kushindwa uchaguzi kikiwa madarakani. Lugha pekee wanayoielewa na kuiheshmu ccm na wajamaa wengine ni matumizi ya nguvu na umwagaji damu
Pascal, huyu uliyemsema ana uwezo gani ambao mtu mwingine hawezi kuwa nao. Wewe ni msomi, watu kama Albert Einstein walikuwa na uwezo wa kufikiri ambao hata leo hakuna mwenye uwezo huo. Sasa huyu wetu ana cha zaidi nini wewe usichokuwa nacho au usichoweza kukifanya as a president of that nature? Nyerere alijaribu kuwa na uwezo zaidi wa kufikiri, sio hao wote waliomfuata. Just being mechanical of which everybody can do!
Msemaji kweli, wewe leo uko madarakani, unasahau kuwa ikianza vita, ukoo wako hutaulinda wote, utaathirika. ni vizuri ukafikiri zaidi ya hapo. Rwanda hakuna ambaye hakuguswa. Ungelikuwa makini ungelijiuliza, kumbe watu wamefikia hatua ya kufikiri hivi! Tufanye nini? kwanini wanafikiri hivi? etc... siyo kutisha huyo uliyemjibu.Ni haki ya fikra zako kuanzisha matumizi ya nguvu na umwagaji damu lakini usije sema hatukukuonya.
Nadhani uko katika ndoto za alinacha!
sasa povu la niniEti eeh!badala ya kutafakari hivyo vyuma vilivyo mwilini vinatokaje![emoji124][emoji124][emoji124]nasikia tamaa ikiwa mbele mauti huwa nyuma kidogo...
Waberoya umefulia sana siku hizi naona umekuwa mtabiri, political analyst, security analyst, election consultant kwa muda mmojahawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje
3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu
5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Kibaki alishinda urais wa kenya 2002 akiwa ICU na anaapishwa akiwa hawezi simama wala kutoka kwenye kitanda cha machela na hata kampeni zilimkutia wodini alafu ndio sembuse lissu!!! Hiyo ni setback tu ila haikufanyi uache kufikiria mambo mengine ya kimaendeleo kisa ulemavu wa muda!!! Ni sawa na kusema mwanamke mjamzito asiwaze kufungua biashara eti kisa ana mimba hivyo asubiri azae ndio aanze KUFIKIRI!!! ???Eti eeh!badala ya kutafakari hivyo vyuma vilivyo mwilini vinatokaje![emoji124][emoji124][emoji124]nasikia tamaa ikiwa mbele mauti huwa nyuma kidogo...
Na itabidi uiote tu. Maana hamna namna.Hio itakuwa ni ndoto ya mchana[emoji1321]
Hahahahaa ila mkaenda kamata computer za TACCEU na LHRC ambazo walikuwa wana upload formu zote za mawakala kwenye vituo vyote Tanzania bara na visiwaniKama.lowassa watanzania walimkataa, lissu hana nafasi kabisa.
Kwenye point No.4 umeongea mambo mazito sana. Lakini mbona kwa sasa tuna Rais mpenda visasi kuliko shetani?hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje
3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu
5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Punguza jazib. Ccm imeshajiozea. Kama unabisha wekeni tume huru. Wapinzani waweke hata jiwe lishindanishwe na uyo magufuli wenu. Aki magu hapati hata kura 30%. Hata ccm wenzake watachagua jiwe.Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.
Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.
Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.
Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.
Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.
Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!
Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?
Hii ndio Tanzania
By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Ur amongst great thinker wachache ninao wakubali mliobaki humu JF.Naunga mkono hoja, hata 2015, tulishangilia sana, sasa kuna watu wanalia na kusaga meno, lakini 2020, watakuwa wameishasahau na watashangilia tena na kuwachagua watu wale wale, chama kile kile.
Hii ni kwa sababu...
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?
Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Anaweza Kuichagua Tena CCM?!. Kwa Lipi?!.
Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?
Paskali
Bongo bwana mbona wanasheria wasomi wenzake walimchagua awe rais wao we hta kijiji tu hakiwezi kukuchagua ndio wajifanya kumkejeli..... Mbona jimboni kwake aliifuta ccm yaani vijiji 45 yye alichukua 43 ina maana wale ni wajinga mpaka kumchagua alafu ww ndio wajifanya kuleta dharaua za ajabuYaani Lissu awe Rais wangu?labda nife
: Lissu anapendeza kuendelea kuwa mwanaharakati, mpiga kelele, na mgombea mashirika ya kigeniNdugu, Mliberali, Comments zangu kuhusu maoni yako.
sifa za lissu
1. msomi was kweli tofauti nayele aliyenunua PHD
Adui Yako Mlaani lakini haki yake mmpe; Huyu umsemaye, amesoma vizuri hata alikuwa Mwalimu wa masomo muhimu na magumu shule za secondary. Msomi period.
2. mzalendo was kweli tofauti na yule anaigiza uzalendo : Lissu ni mzalendo lakini sio zaidi ya Magufuli, ishue ya Makinikia tuu inaonyesha nani mzalendo.
3.anajua kingereza hakika ataiwakilisha nchi kimataifa, tofauti na huyu hana confidence kwenye podium ya kimataifa
Lissu anakijua kiingereza zaidi, Kuwakilisha kimataifa sio lazima ujue na kuitukuza Lugha ya wengine, mbona Maraisi wa China,India,Iran, France,Italy, Saudia japokuwa wanaijua vizuri sana lugha ya Kiingereza, lakini wanatumia Lugha zao na wanakuwa na wakalimani, hiyo ni mojawapo ya uzalendo.
4. hana kashfa ya ufisadi tofauti na huyu tuliye Naye: Lissu hajashika nyadhifa yoyote ambayo atahitajika kutimiza matakwa ya mkubwa wake. na pia hatujia katika kesi zake kama alitumia mbinu za kumhonga Hakimu, ili wateja wake washinde kesi, kama kawaida ya mawakili wengineo. Time will tell.
6.ni dictator msomi huyu tuliye naye ni dictator uchwara: Lissu atakuwa Dictator Mkurupukaji, Mtafuta sifa na mwenye chuki sana.
7.ongezea