Lissu: Natafakari urais 2020

Lissu: Natafakari urais 2020

Makamanda wa chadema wameshapoteza ladha, kama big g naweza tema nikaonja karanga, watu waliwaamini ila wachache wamewasalit, kwahyo wakaushe tu 2020 magufuli anapeta, 2025 makonda anapeta.

Nimeyaongea haya kama mtanzania wa kawaida. Asiyefungamana na chama

Kama kuna chama kimekosa ladha basi ni chama chakavu ndiyo maana kinatumia mabavu ya vyombo vya dola na raslimali za nchi ili kubakia madarakani. Hata raslimali watu hakina ndiyo maana kinakodi wabunge na madiwani toka Chadema. Wakishindwa hoja wanateka,wanatesa na kuua wapinzani.
 
Kama kuna chama kimekosa ladha basi ni chama chakavu ndiyo maana kinatumia mabavu ya vyombo vya dola na raslimali za nchi ili kubakia madarakani. Hata raslimali watu hakina ndiyo maana kinakodi wabunge na madiwani toka Chadema. Wakishindwa hoja wanateka,wanatesa na kuua wapinzani.
Ccm haiaminiki tena,kashfa za rais ni kubwa mno,kwahivyo imepoteza sifa kwa wananchi.
 
Kama kuna chama kimekosa ladha basi ni chama chakavu ndiyo maana kinatumia mabavu ya vyombo vya dola na raslimali za nchi ili kubakia madarakani. Hata raslimali watu hakina ndiyo maana kinakodi wabunge na madiwani toka Chadema. Wakishindwa hoja wanateka,wanatesa na kuua wapinzani.
Chama hakiui watu, chama hakiteki watu, chama hakinunui watu, unaelewa ilo?
 
Kama kuna chama kimekosa ladha basi ni chama chakavu ndiyo maana kinatumia mabavu ya vyombo vya dola na raslimali za nchi ili kubakia madarakani. Hata raslimali watu hakina ndiyo maana kinakodi wabunge na madiwani toka Chadema. Wakishindwa hoja wanateka,wanatesa na kuua wapinzani.
Hawata weza kuua upinzani,ila kinachotoea hapa tz ni kutengeneza upinzani mkali ndani ya ccm.
 
President post is directly proportional to number MPs and Diwanis.
Bila hilo hakuna uraisi .
 
Hii ndio habari kuu katika gazeti la Raia Mwema la siku ya leo Jumatatu ya tarehe 29/01/2018.

Kwa chini kuna nukuu yake hii:

"Nawashukuru wanachama wenzangu na wengine wote wanaonifikiria nigombee uraisi."


Chanzo: kutoka magazetini


Huyu mtoa Mada na Hili gazeti lenyewe wamemnukuu vibaya sana Lissu: Alichokiongea lissu kwenye gazzeti ni vitu viwili tofauti, Lissu hajazungumza neno kutafakari kugombea urais Chadema baada ya kuulizwa ameeleza kisheria vipi rais anapatikana katika chama chake na kwa sababu ameulizwa ndio amejibu hivyo tu.

Hakuna neno Lissu ''Natafakari Urais 2020'' umeandika kiuchochezi zaidi
 
Magufuli atashindwa na na Tundu Lisssu halafu atajifanya kuingiza vifaru mitaani hapo sasa ndio manowari USS NIMITZ unaweka nanga.

Hafafu SADC wakijifanya viziwi TANZANIA itaelekea njis ya CAMEROON.

CCM itoke ilikabiziwa nchi na mkoloni wenyewe wamefikiri ni urifhi wamepewa na baba yao mkoloni

Tumrwachoka!..wapeni Chadema na cuf ya asilia ya maalim tuanze kazi
 
Magufuli atashindwa na na Tundu Lisssu halafu atajifanya kuingiza vifaru mitaani hapo sasa ndio manowari USS NIMITZ unaweka nanga.

Hafafu SADC wakijifanya viziwi TANZANIA itaelekea njis ya CAMEROON.

CCM itoke ilikabiziwa nchi na mkoloni wenyewe wamefikiri ni urifhi wamepewa na baba yao mkoloni

Tumrwachoka!..wapeni Chadema na cuf ya asilia ya maalim tuanze kazi
Ccm lazima itoke madaakani.
 
turkey2.jpg

NYIE CCM ACHENI ZENGWE KWENI TUNDU LISSU AKIWA RASI WA NCH NYINYI KAMA SIO WEZI NI KITU GANI KIWATIACHO UCHUNGU
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Hivi urais ni mali ya mtu ambayo haiwezi kuchukuliwa na mtu mwingine?Nimezaliwa na kukulia katika mazingira ambamo mtu yeyote mwenye ndoto ya kuwa rais regardless ya kabila,dini na anakotoka angeweza kugombea nafasi yeyote ile na kudhaminiwa na wananchi.Kama wananchi walimdhamini huyu aliyepo watashindwaje kumdhamini yeyote?Msiwe na mawazo ya ukuadi na upambe jamani urais unatoka kwa wananchi na si mali ya mtu
 
Kanda ya ziwa ina watu wengi
Kanda ya ziwa ipi itakayombeba jiwe?Bukoba keshaharibu na wana hasira naye,Mara nako wana hasira naye,Mwanza mjini ndo usiseme.Hebu jaribu kufanya interview kwa wavuvi na jamii inayowazunguka.Ukabila hautambeba huyo jamaa yenu.Yeye aendelee kutegemea wakurugenzi na polisi tu!
 
Apone kwanza!
Lissu hatapona, atakuwa mlemavu milele. Haweza kutembea bila msaada na kila mwezi ukiandama atakuwa anapata maumivu makali (siku saba mfululizo). Ataendelea kutumia dawa za maumivu maisha na zitamdhuru. Hivyo nawaombeni mumuache apumzike au aseme anachotaka maana anajiliwaza, hamna namna nyingine. Hataweza kufanya kazi yoyote ya maana milele.
 
Lissu hatapona, atakuwa mlemavu milele. Haweza kutembea bila msaada na kila mwezi ukiandama atakuwa anapata maumivu makali (siku saba mfululizo). Ataendelea kutumia dawa za maumivu maisha na zitamdhuru. Hivyo nawaombeni mumuache apumzike au aseme anachotaka maana anajiliwaza, hamna namna nyingine. Hataweza kufanya kazi yoyote ya maana milele.
Mapopo ya lumumba yanamuogopa lissu.wanajua lisu anakubalika nchi nzima,kwa hivyo anaweza kushinda urais 2020.kwa taarifa lissu anauwezo wa kutembea na kusimama kwa 1hour.
 
Tuliza kishundu hicho uzae salama dada.
Kishundu ni nini?

Nizae nini?

Unasema mim dada unao uhakika au unaweza kuthibitisha kuwa mim ni dada?

Nilichouliza haujajibu, nimeuliza wapi chama kikaua, kikateka watu, kikanunua watu? Naona haujajibu zaidi ya hasira tu!
 
Back
Top Bottom