Kwa mawazo mapana na yenye masilahi nchini,baadhi ya watanzania wengi ikiwema makamanda na wanaharakati wanamatarajio ya kwamba lissu apepelushe bendera kugombea urais kupitia chadema kwani mchango wa lissu, umeonekana ndani ya nchi na nje ya nchi.
Ikumbukwe kuwa lissu wakati ni rais wa TLS,kwa kipindi cha nusu mwaka alifanya mambo makubwa ikiwemo kutetea wananchi wasiokuwa na hatia,watanzania ni shahid,ccm wanajua na serikali inajua mchango wa lissu.ccm nao pia wanatamani lissu agombee urais kwasababu wanajuta hali ya siasa tanzania.watumishi hawajaongezewa mishahara na kupelekea hali kuwa mbaya zaidi ambapo hawakutarajia kama walivyo dhani.Hon.Lissu is expected 2020 .