Lissu: Natafakari urais 2020

Lissu: Natafakari urais 2020

Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Kwa mazingira haya ya tume kuwa yenu na polisi kutumika mithili ya misukule, kweli unayosema yana ukweli ndani yake.
 
Lisu yupi sasa huyu mgonjwa?

Simcheki ila kama ni huyo basi WATANZANIA hatujitambui kabisa.
Wengine wanakua mwili sambamba na akili lkn wewe unakuwa mwili tu..! Something must be terribly amis...!
 
Lisu akiwa rais angalau tunaweza kupiga hatua hata tukazid alipofika jk.... Maana kwa sasa tumerud nyuma km vile ndo tupo miaka ya 90....hii yote ni kukosa watu wenye vision
 
Lissu si presidential material. Mbaya zaidi hata vyombo vya usalama havimuamini. Mnafikiri mtu unapigiwa tu kura kuwa Rais wa nchi?

Alikuwa na nafasi nzuri ya kujitengeneza kuwa RAIS WA MIOYO, aliiharibu. Sio kila kitu kinahitaji uana harakati! hata kukosoa tu angeweza kutumia lugha ya busara, staha na ya mvuto kuonyesha 'haukubaliani na rais" ila unamuunga mkono na kuwa 'kama mimi ningekuwa kwenye nafasi yake' ningeyafanya haya na haya! kwa caliber na status yake kutengeneza platform na base ya kuwa rais angeweza ila unapowaita 'mipolisi ya maCCM' usalama wa taifa uko mfukoni, Jeshi sijui nini...mahakama imenunuliwa, WAKATI UNAJIONA unataka kujionyesha wewe ndio mpinzani bora ila watu au raia walewale wanakuogopa sasa!!..unajiweka mbali na wananchi, na serikali na kila mmoja anakuogopa wakati alitakiwa kuwa 'kimbilio'

Lissu ashawahi kugombana mpaka na Nyerere! akamuita Nyerere muongo!! alikuwa mbinafsi!! Lowassa na nguvu zake zote nchi hii kamwe hawezi kumsema vibaya Nyerere!! Alama ya taifa ile hata kama alikuwa mbaya au udhaifu fulani

Lissu anaitukanisha nchi yetu kila mahali dunia hii!! anataka anachosema yeye aaminike, watu wote waumie kwa sababu ana hasira na magufuli!! ukiweza KUIANIKA nchi yako kimataifa una tatizo la kukosa influence

Haitakuja kutokea kwa tabia zile au tabia zake aje kuwa rais nchi hii.......haiji kuwa
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Povu na risasi za nini kama anaota tu?
 
Lissu anaitukanisha nchi yetu kila mahali dunia hii!! anataka anachosema yeye aaminike, watu wote waumie kwa sababu ana hasira na magufuli!! ukiweza KUIANIKA nchi yako kimataifa una tatizo la kukosa influence
Nchi inajitukanisha na kunuka kiasi cha kujitenga kimaifa na wenye kuheshimu demokrasia na utawala wa sheria.

Haitakuja kutokea kwa tabia zile au tabia zake aje kuwa rais nchi hii.......haiji kuwa

Kama ambavyo haijawahi kutokea Lisu kupigwa risasi 38 na akapona basi tusubiri itakavyotokea uchwara kutawala milele ili asikabiliwe na kesi za mauaji anayoyafanya , na kuangamiza taifa kwa manufaa ya ufalme wa kanda ya maziwa makuu.
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
So saith mr god waberoya.
Sir, may you touch your ass! That's your opinion
 
Wengine wanakua mwili sambamba na akili lkn wewe unakuwa mwili tu..! Something must be terribly amis...!
Kasikilize ule wimbo wa DDC Mlimani park Nani Kamaliza mwaka, nani kauna mwaka una ujumbe mzuri kwa mdogo wako
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Soma article utagundua mwandishi na gazeti walitaka nini
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Wakati Nyerere anakomboa nchi Vyombo vya usalama vya wakoloni vilikubali ? Kingine , huo ugomvi binafsi wa Lissu na Magufuli ni upi ? Inafahamika Lissu anapigania utawala wa sheria huku magufuli akisigina katiba , huu ni mgogoro wa kitaifa kwanini unauita mgogoro binafsi wa Lissu na Magufuli ?

Katiba ndio msahafu wa nchi yoyote ikisiginwa ni hatari sana .
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Tatizo la kukaririshwa kuwa Rais lazima atoke CCM .....!!
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anatandikiwa kanga barabarani na anadekiwa baràbara ili apite!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania

By the way, anazo pesa za kumlipa Lowassa ili amwachie nafasi yake?
Huna lolote wewe! Lissu hajasema hayo ila wanaopenda awe hivyo ni wengi.
Kama wewe ni Mtanzania halisi jiulize jee nani kati ya Lissu na Magufuli anaweza kuwa Rais bora kwa manufaa ya nchi? This five years nchi imeingia choo cha kike wakati ni wanaume
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Unamuongelea Lissu au mumeo?
 
Back
Top Bottom