Lissu: Natafakari urais 2020

Lissu: Natafakari urais 2020

hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Wewe ndio akili zako zipo nyuma sana aliyekuambia mtu akitaka kugombea ananyimwa ridhaa na chama chake ni nani je wewe ndiye msemaji wa chama chake?,je usaliti aliouonyesha ni upi au hnataka tu kuleta mambo yako ya kusema watu ni wachochezi kwaajili tu ya kumsema rais kwamba kuna mambo hanayoenda tofauti? Je kama ndio hivyo tusiseme eti kwasababu yeye ndio boss
 
Ngoja wamiliki wa kichama chao waje waanze kumsakama wammalizie kabisa, maana wenyewe ni wapiga deal na wanauza kwa mwenye pesa tu likija swala la kugombea hiyo nafasi.
Namshauri Lissu aanza na uenyekiti wa chama ndo afuate urais
 
Kushangiliwa kidogo amejiona anaweza kupambana na CCM the Giant huku nafasi ya Urais ikiwa na incumbent president.

Kama anataka kutimiza namba haina tatizo kwa sababu hata Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais.

Hajui kuwa Watanzania ni wazuri sana kwa kushangilia na wepesi sana wa kukusahau ndio maana wanaleta misema mingi kama vile "pambana na hali yako" ikimaanisha kuwa usiwauzie fulana au matatizo yako.

Mdanganyeni akacheze hiyo kamari ili apoteze vyote. Hata ubunge utausikia kwenye TV kwa miaka mitano.

Yeye aendelee tu kuwa mwanaharakati kwa sababu mwanaharakati "anajua yote" lakini hana practical solution.

Aende akamuulize Lyatonga Mrema au Lowassa aliyekuwa anadekiwa baràbara!

Juzi Lowassa aliposhuka kwenye gari lake wakati wa ufunguzi wa kampeni Kinondoni zilizikika sauti za watu kama watatu wakiimba Rais, Rais, halafu sauti nyingine ikasema mbona mmepooza na hamuimbi?

Hii ndio Tanzania
Ni kweli ccm haiwezi ondoka madarakani kwa njia za kidemokrasia za kupiga kura, kiuhalisia hakuna chama Cha kijamaa duniani kote kiliwahi kushindwa uchaguzi kikiwa madarakani. Lugha pekee wanayoielewa na kuiheshmu ccm na wajamaa wengine ni matumizi ya nguvu na umwagaji damu
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..

Umeongea mipasho utafikiri adija kopa
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Kwani ana tatizo na JPM??
 
hawezi, haji, haiwi, hatakuwa, asahau....
1.hawezi pata ridhaa ya chama chake
2.msaliti no. moja wa taifa, akili ya Lissu ni sawa na Joyce kiria, mke wa kilewo....kutoa siri za ndoa nje

3.haaminiwi na vyombo vya usalama, so akigombea ataishia kupigiwa deki
4.mshari, ana visasi, mbishi na ataleta machafuko nchini tatizo lake na JPM binafsi kaliweka ni tatizo la nchi na kuumiza kila mtu

5.he never appreciates hata ufanye nini!..
Mbona mnatumia nguvu kubwa Sana kumpinga? kwa akili kama Hizi basi Jamaa anafaa
 
Back
Top Bottom