Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Lissu amesema sehemu nyingine duniani Polisi hutaja njia ambako maandamano yatapita na kutoa tahadhari kwa wafanyabiashara pamoja watu wanaotumia barabara hiyo wajue itatumika kwa maandamo, lakini maandamano ya CHADEMA yanafanyika huku magari yanaingilia msafara wao wa maandamano.
Akiongeza, kuchanganya waandamanaji na magari sio sawa kwani maafa yanaweza kutokea, na kuwataka polisi wafanye kazi yao ya kuwasaidia waandamanaji kuandamana kama wanavyofanya kwa Makonda. Akisema Makonda akifanya mikutano yake polisi wanahakikisha barabara inakuwa wazi lakini wakifanya CHADEMA ni tofauti, waandamanaji wanachanganywa na magari.
Lissu ameyasema haya leo tar 27/2/2024 akiongea na wananchi Arusha baada ya maandamano.
Akiongeza, kuchanganya waandamanaji na magari sio sawa kwani maafa yanaweza kutokea, na kuwataka polisi wafanye kazi yao ya kuwasaidia waandamanaji kuandamana kama wanavyofanya kwa Makonda. Akisema Makonda akifanya mikutano yake polisi wanahakikisha barabara inakuwa wazi lakini wakifanya CHADEMA ni tofauti, waandamanaji wanachanganywa na magari.
Lissu ameyasema haya leo tar 27/2/2024 akiongea na wananchi Arusha baada ya maandamano.