Lissu haponi kesi hii

Lissu haponi kesi hii

Ni bora afugwe kama wanavyofanya mda wote ila cha msingi hatutaki siasa za maigizo watu wanakufa na kuachwa majeraha baadae nyie mnakutana pembeni
 
Lissu hana washauri , kazungukwa na machawa ambao hata akitukana wanasema ''msomi huyo , msoni huyo '' ..Hii kesi ilishaisha kwa vile kulikuwa hakuna haja ya kutoa ushahid, makosa yako wazi ;walimfuata ili kesi imalizwe akajiona anaweza kutetewa na vijana wake wa ughaibuni pamoja na machawa wake .

Leo naona hata anachoongea hajui 😀
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana

2030 sio mbali, watamtoa tu,
 
Lissu hana washauri , kazungukwa na machawa ambao hata akitukana wanasema ''msomi huyo , msoni huyo '' ..Hii kesi ilishaisha kwa vile kulikuwa hakuna haja ya kutoa ushahid, makosa yako wazi ;walimfuata ili kesi imalizwe akajiona anaweza kutetewa na vijana wake wa ughaibuni pamoja na machawa wake .

Leo naona hata anachoongea hajui 😀

Rufiji tumemkimbiza Muindi
🤠🤠🤠

Sasa tuseme Wakimdodosa upande wa Serikali 😂

hakiulizwa Jamhuri imepata faida gani leo tofauti na uko nyuma👈

Muindi hangewekeza ile mipesa sindio faida zaidi ‼️
Sio kwamba Jamhuri ingekuwa inapokea mipesa kupitia kodi mbali mbali na kutengeneza ajira nyingi kwa wanyeji usika🤠🤠

Lissu sijui hatajibu nini🦘🦘
 
Rufiji tumemkimbiza Muindi
🤠🤠🤠

Sasa tuseme Wakimdodosa upande wa Serikali 😂

hakiulizwa Jamhuri imepata faida gani leo tofauti na uko nyuma👈

Muindi hangewekeza ile mipesa sindio faida zaidi ‼️
Sio kwamba Jamhuri ingekuwa inapokea mipesa kupitia kodi mbali mbali na kutengeneza ajira nyingi kwa wanyeji usika🤠🤠

Lissu sijui hatajibu nini🦘🦘
Yaani huyo jamaa tatizo lake , kazungukwa na watu ambao hawana uwezo wa kumshauri hata kidogo .
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Je wewe utaponaa?
 
Labda majaji wapate akili siku za mbele. Zingatia hapo
Wapenda mabadiliko hatuangalii akili za majaji wanaoteuliwa na mwenyekiti wa ccm, aliyemfunga gerezani mpinzani wake kwa hila! Tunachoangalia hapa ni historia kuandikwa kwa ajili ya kizazi chasasa, na kile kijacho.
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
ongelea legal arguments, je zina uzito? kama zina uzito, then ishia hapo. Why? maana hata kama zina uzito mkubwa, kama samia atelekeza fanya hivi, hata akija Trump, hatasaisia labda aje na madege....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom