Lissu haponi kesi hii

Lissu haponi kesi hii

Yaani huyo jamaa tatizo lake , kazungukwa na watu ambao hawana uwezo wa kumshauri hata kidogo .

Kweli kabisa Mkuu👈

ile Kesi siku baada ya siku inadhidi kumwelemea yeye Lissu👈

Angeuza ile kesi kwa wenzie
Lkn lengo lake kujimwambafai tu kuwa yeye hashindiki 🤠🤠
 
Wapenda mabadiliko hatuangalii akili za majaji wanaoteuliwa na mwenyekiti wa ccm, aliyemfunga gerezani mpinzani wake kwa hila! Tunachoangalia hapa ni historia kuandikwa kwa ajili ya kizazi chasasa, na kile kijacho.

Watoto labda wajifunze kufuga ile minywele😂😂😂

sioni chengine pale kwa mjomba Lissu 🦘🦘 jamaa ni M'bishi kama Masai
Masai anaweza kukimbiza ng'ombe M1 kutoka Morogoro mpaka
Dodoma nk👈
 
Hiyo serikali imeleta ushahidi gani wa maana ?

Hivi nyie watu mnaujua uhaini?
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Usanii mtupu.
 
Lolote limkute tu
Unawezaaje kuwatetea wamatumbi na ushinde?

Sometimes wawe wanaangalia na vita vya kupigana
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Na yeye hataki kupona,vinginevyo angepokea chochote kitu kama chairman mstaafu;yeye yupo tayari kwa lolote na hata ikibidi kunyongwa
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Uzuri ni kwamba Lissu ameshakubali kufa, kuwa martyr.

Maana yake hata asipopona, amepona.

Kuwa na kesi dhidi ya mtu aliye tayari kuwa martyr ni kitu kibaya sana.

Huwezi kushinda hiyo kesi.

Ukishindwa umeshindwa, ukishinda umeshindwa.

Hiyo ndiyo position ya serikali sasa hivi.

Wakati upande wa Lissu, akishinda ameshinda, akishindwa ameshinda.
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Huna akili
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Mnabii wengi walihukumiwa, kudhulumiwa na hata kuuawa kwa sababu ya kusimamia ukweli!
Watamhukumu! Watamuua... Lakini wengine watakuja wakijua wapi pa kuanzia!
Maji yashakorogeka haya!
 
Sijaona bado kama hawa majaji wanaweza kuamua vinginevyo. Walikuwa na hiyo nafasi tangu mwanzo kabisa ila ni dhahiri tayari wanayo maamuzi yao.
Nakubaliana na mtoa hoja.

Tuendelee Mhe Jaji na maswali mengine. Alisikika wakili mmoja aliyepigiwa simu.
 
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
Hukumu ni lazima itoke lakini si kama unavyoweza kufikiri wewe
 
Kweli kabisa Mkuu👈

ile Kesi siku baada ya siku inadhidi kumwelemea yeye Lissu👈

Angeuza ile kesi kwa wenzie
Lkn lengo lake kujimwambafai tu kuwa yeye hashindiki 🤠🤠
🔥🔥
 
Hukumu ni lazima itoke lakini si kama unavyoweza kufikiri wewe
Binafsi nimeshaumia sana na hii kesi mpaka kulia nimelia. Kila nikimsikia Lissu akifanya mawasilisho yake au cross examinations zake naumia kwa jinai alivyo innocent lakini from nowhere majaji wanaamua kwa jia zao za kijima.



Nakata tamaa
 
Nakubaliana na mtoa hoja.

Tuendelee Mhe Jaji na maswali mengine. Alisikika wakili mmoja aliyepigiwa simu.
Inaumiza. Anakubaliana na hoja za Lissu halafu anapitisha hoja za kina Katuga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom