Yeye Lissu wa ngapi Kwa ushawishi?
Ccm imechangia kumletea kifo Mzee Lowassa, kina uzi humu wenye kutaja ushenzi huu wa Lumumba street, nani owner wa UDA?,Nyati cross border transporter?,mijitu iliyojaa roho mbaya za kikatili zaidi ya kwa mashuUnafiki wao mkubwa sana ..ajabu wafuasi wao kila wanapobadilika wapo nao...nyumbu Wana tabu sana
Huyu chiba ni kigeugeu. Si aliwahi kusema Nyerere alikuwa mdanganyfu aliyezoea vya kuchinja?
Huyu huyu na wahuni wenzenu wa Chadema mlimsema fisadi na mkamwandika kwenye LIST OF SHAME. Leo mmeshahau.
Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .
Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .
Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
Huyu chiba ni kigeugeu. Si aliwahi kusema Nyerere alikuwa mdanganyfu aliyezoea vya kuchinja?
Upuuzi mtupu.Yeah, alikua maarufu kwa kuchinja
Upuuzi mtupu.Kwani mtu akiwa mdanganyifu au mchinjaji inamzuia vipi kuwa na ushawishi?
Tena form one!!..Mama Regina Lowassa alikuwa Mwalimu wa Tundu Lissu alipokuwa sekondari.
Lissu ni shujaaLisu ni mtaji mkubwa sana ....anajua mengi sana kichwa kile balaa....muulize Jk anajua shughuli yake
Hivi kua na ushawishi ndio kua msafi.Ufisadi na ushawishi mbona ni mambo mawili tofauti.Muwe mnatumia akili zenu sawasawa.Alifanya utafiti wapi huyo mropokaji???? Atuonyeshe utafiti wake. Huyu si ndio alisema Lowassa ni Fisadi pale mwembe Yanga. Au amesahau tena.