Lissu: Baada ya Nyerere aliyefuatia kwa ushawishi alikuwa Lowassa

Unafiki wao mkubwa sana ..ajabu wafuasi wao kila wanapobadilika wapo nao...nyumbu Wana tabu sana
Ccm imechangia kumletea kifo Mzee Lowassa, kina uzi humu wenye kutaja ushenzi huu wa Lumumba street, nani owner wa UDA?,Nyati cross border transporter?,mijitu iliyojaa roho mbaya za kikatili zaidi ya kwa mashu
 
Hivi hii kauli ya kusema kuwa Nyerere alikuwa na ushawishi hata kama ya kweli inaweza kutoka kwa Lissu?
Natafuta chama ambacho hakina unafiki nijiunge
 

Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .

Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .

Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
Huyu huyu na wahuni wenzenu wa Chadema mlimsema fisadi na mkamwandika kwenye LIST OF SHAME. Leo mmeshahau.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom