Tetesi: Lissu anaumwa

Hivi akiitaji kufanyiwa surgery Samia atamruhusu au ndo kufurahi ili afee
 
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.πŸ™πŸ™πŸ™
 
 
kwanini anamficha Dereva wake kama siyo kuogopa kuumbuka kwamba walipanga wenyewe yakaenda ndivyo sivyo
 
 
tutatuia sindano
 

Attachments

  • sindano.mp4
    2.6 MB
Ngombe wa mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…