Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,590
- 44,415
Ukiwaambia ukweli watasema wewe ni chawa wa mama.
J
Jukwaa la mgombea uraisi hilo.
ILa chadema.....
J
Jukwaa la mgombea uraisi hilo.
ILa chadema.....
Ukiwaambia ukweli watasema wewe ni chawa wa mama.
J
Jukwaa la mgombea uraisi hilo.
ILa chadema.....
Ni aibu sana kwa mzee kuwa muongo , yaani ziara ina katibu mkuu wa Chama bila aibu unasema ni ziara binafsi ?Mkuu Countrywide , japo Chadema wenyewe hawajasema, hizi ziara za Lissu, na mikutano yake, ni ziara binafsi ambazo haziratibiwi na chama, bali ni yeye Lissu ninafsi kama Lissu na atatumia fedha zake binafsi!.
Kwa vile buyu la asali limeishatua Chadema, zingekuwa ni ziara za kichama, angeisha wezeshwa.
P
Buyu la asali ni la mfalme mbowe wa chademaMkuu Countrywide , japo Chadema wenyewe hawajasema, hizi ziara za Lissu, na mikutano yake, ni ziara binafsi ambazo haziratibiwi na chama, bali ni yeye Lissu ninafsi kama Lissu na atatumia fedha zake binafsi!.
Kwa vile buyu la asali limeishatua Chadema, zingekuwa ni ziara za kichama, angeisha wezeshwa.
P
Si mlisema kifo cha Magufuli kimeleta ahuni
Acha mambo ya ajabu , kumbuka anafanya mikutano kwenye kata, so ametengwa kivipi ,chadema hawanaga mbwembweMimi binafsi huwa simkubali kabisa lissu, lakini kuna usemi unatumika sana unasema adui yako muombe njaa. Lakini hapo hapo wanasema adui yako vitani akiwa na njaa mpe chakula muendelee kupigana.
Leo nimekuja mbele yenu namuombea chakula Lissu, sio chakula hiki tunachokula bali namaanisha namuombea aonewe huruma kwa kinachoendelea. Lissu ametengwa, Lissu anapigana vita peke yake anakaribia kushindwa na kuanguka vibaya mno.
Nawaomba chadema mpeni support ili muendelee kupigana vizuri. Lissu anatia huruma, amenyong'onyea, amekata tamaa
Lissu hana tena support anapopita kufaanya mikutano. Sasa hivi anatumia miti kama majukwaa, hana tena support. Tuliruhusu mikutano ya hadhara ila hatujaruhusu hii minyukano yenu ya ndani kwa ndani.
Angalia hapo kinachoendelea kwa Lissu, je kweli mnakubaliana na hili?
View attachment 2629894View attachment 2629896View attachment 2629897
Hawana mbwembwe hiyo helcopta ni ya nini kwa MboweAcha mambo ya ajabu , kumbuka anafanya mikutano kwenye kata, so ametengwa kivipi ,chadema hawanaga mbwembwe
Swala hapa sio jukwaa ,swala nikipi unatoa kinywani basi
Hapo Lissu akipata majanga utashangaa huyo anayesema ujinga atatoa shutuma kwa CCMYaani Usalama wa mwanachama mwenzako wa Chadema ni Ujinga!!! Hii akaunti yako Kweli ipo salama? Au tifu la Kariakoo limekuvuruga?
😂😂😂Mimi binafsi huwa simkubali kabisa lissu, lakini kuna usemi unatumika sana unasema adui yako muombe njaa. Lakini hapo hapo wanasema adui yako vitani akiwa na njaa mpe chakula muendelee kupigana.
Leo nimekuja mbele yenu namuombea chakula Lissu, sio chakula hiki tunachokula bali namaanisha namuombea aonewe huruma kwa kinachoendelea. Lissu ametengwa, Lissu anapigana vita peke yake anakaribia kushindwa na kuanguka vibaya mno.
Nawaomba chadema mpeni support ili muendelee kupigana vizuri. Lissu anatia huruma, amenyong'onyea, amekata tamaa
Lissu hana tena support anapopita kufaanya mikutano. Sasa hivi anatumia miti kama majukwaa, hana tena support. Tuliruhusu mikutano ya hadhara ila hatujaruhusu hii minyukano yenu ya ndani kwa ndani.
Angalia hapo kinachoendelea kwa Lissu, je kweli mnakubaliana na hili?
View attachment 2629894View attachment 2629896View attachment 2629897
Una uhakika?Lissu hajalipwa madai yake na Serikali Hadi sasa, wanataka awapigie magoti ndo walipe
Lissu anahujumiwa ...
Wakimfanyia hila malipo ni hapa hapa tuKwa mara ya kwanza nakuunga mkono
Ilipaswa wawe na uwiano sawa wa vitendea kazi maeneo watakayo hutubia
Ukiangalia mwamba yeye kajichagulia maeneo yenye wafuasi wengi na kambi za cdm
Ingelipendeza majukwaa na menyewe yaendane na hadhi ya mtu atakayelitumia
Makamo mwenyekiti na alikuwa mgombea urais kweli jukwaa Hilo kweli ?
Ndio amesema Kwa kauli yake, kalipwa kiduchu, ingine wanampiga chenga.Una uhakika?