Lips zake zimenichanganya

Lips zake zimenichanganya

Safari moja huanzsha nyengne.... na raha ya safar ufke... hatuwez ishia njian... lazima utataman jua zaid ya kissing... ninawe thn chakula usinipe patachimbika mbona

hahahahahaa patachimbika, nikiona unataka kuchimba nakimbia mbiooooo hehehehehhee mie nataka iishie kwenye kiss tuu, iishie hapo hapo.
 
Ungemvamia tu na kuanza kuzinyonya ili kutimiza yale mambo ya kula ujana, ya nini kuteseka moyoni bure!?

BAK as usual, thanks best for the song, lips zimenichanginyi mwenzio.
 
Mjerumani ila nadhani kachanganya damu ya Mwafrika na Mzungu.

Boris Frederic Cecil Tey-Natey Ofuatey Kodjoe was born in Vienna, Austria to a German mother, and a Ghanaian father. He has one sister, Nadja, and a brother, Patrick. As a teenager, Boris was extremely focused on building a tennis career. He was accepted to Virgina Commonwealth University in Richmond, Virginia through a tennis scholarship. However, a back injury prevented him from pursuing this dream. After modeling came into the picture, Boris moved to America where he learned English and worked with a voice coach to lose his accent. He modeled for many high-profile clothing lines such as Gap and

Nyuma ya hilo bango wanaonesha BET, huyo ni mbongo?
 
kwa sisi wataalam wa storyboard huwa hatukosi la kusema. Ina maana kijana alikuwa akienda kinyumenyume, au midomo yake ilikua kisogoni?

sijaelezea tukio kwa tukio, foleni ilikuwa inaenda kwa viti na viti vilikuwa vya kuzunguka hivo kuna muda mnaonana haikuwa ya kusimama na kupeana visogo
 
Haipo kwasababu alikuwa anaongea na simu na sikusikia harufu mbaya, ingekuwepo ningeisikia kwa sababu alikuwa mbele yangu ila ndo hivo sikuweza hata zigusa lips zake...............

naamini alikuwa anaongea kwa kutizama mbele akati wewe ulikuwa kwa nyuma kama unambambia hivi hivyo kusikia harufu ya mdomo ni ngumu labda huo mdomo utoe harufu zaidi ya choo
 
Hahahahahahahah lara 1 hahahaha umenichekesha
Koooooooooh! *Swallows spit!* kumbe na wewe umesikia huu wimbo wa kibaka kuomba lift kwwnye defender! Did you say 15? Kooooooooooooh! *Spits out this time!:A S-eek:*
 
Last edited by a moderator:
Ungemvamia tu na kuanza kuzinyonya ili kutimiza yale mambo ya kula ujana, ya nini kuteseka moyoni bure!?

niliogopa kushitakiwa kwa ku kid nap lips za mtoto na kuzificha mdomoni kwangu looh!! Ila ningekutana nae club ningeshawishika kumuomba maana kule unaweza kusingizia pombe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
naamini alikuwa anaongea kwa kutizama mbele akati wewe ulikuwa kwa nyuma kama unambambia hivi hivyo kusikia harufu ya mdomo ni ngumu labda huo mdomo utoe harufu zaidi ya choo

foleni ilikuwa ya kusogea kwa kiti, it was side by side yaani like tunagusana mabega so harufu ya mdomo unaipata vilivyo, halafu mtu hakai kama jiwe, anageuka huku na huku hivo nilikuwa na nafasi ya kuona vyote hivo lips na kujua kuwa hazina harufu.
 
Adhabu ya kumvamia njemba hadharani na kuzinyonya lips zake bila ridhaa yake si kubwa, hivyo ungeweza tu kuilipa. Kwa jinsi ulivyozinyonya na njemba kujiona yuko dunia ya maraha raha angeweza kugeuza kibao na kudai, "Nimependa sana unyonyaji wako wa lips nakuomba tuwe wapenzi." Ungeua ndege wawili kwa jiwe moja.

niliogopa kushitakiwa kwa ku kid nap lips za mtoto na kuzificha mdomoni kwangu looh!! Ila ningekutana nae club ningeshawishika kumuomba maana kule unaweza kusingizia pombe
 
Back
Top Bottom