BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hapana Kasinde hata siku moja siwezi kufanya huo upumbavu/ujuha. Salaam kwa MSULI nitazifikisha.
BAK na wewe uko kwenye huo mtandao wa kuhabarishana issue za watu under cover? Mmmhhh, salam kwa msuli. Tized umenikatia tamaa mara hii? Na wewe unaungana na yule anayesema bora kuwa na nguruwe umnywe supu kuliko mke kama Kasie??!! Kwelii... mie nilijua tutaendelea kuwa wote kwa shida na raha kumbe kwenye shida zangu unantosa, poa yote maisha.