Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
was just an example of lips tu regardless ni mbongo au wambele!!!!!!!
Nimekupata ndugu
was just an example of lips tu regardless ni mbongo au wambele!!!!!!!
Adhabu ya kumvamia njemba hadharani na kuzinyonya lips zake bila ridhaa yake si kubwa, hivyo ungeweza tu kuilipa. Kwa jinsi ulivyozinyonya na njemba kujiona yuko dunia ya maraha raha angeweza kugeuza kibao na kudai, "Nimependa sana unyonyaji wako wa lips nakuomba tuwe wapenzi." Ungeua ndege wawili kwa jiwe moja.
ni mie wakati niko mschana now nimebadilika kidoogoo
uwe unaweka details za msingi ueleweke dadasijaelezea tukio kwa tukio, foleni ilikuwa inaenda kwa viti na viti vilikuwa vya kuzunguka hivo kuna muda mnaonana haikuwa ya kusimama na kupeana visogo
Hahahahaha lol!!!! Halle Berry wa ukweli katika idara zote hawezi kusimama na Halle Berry wa Bongo....Kwa raha zako Mkuu katika kufundishwa namna ya kuicheza Ngololo.
Mmmhhh
Hizi hapana BAK
Mkuu christine ibrahim imetokea tu coincidence kwamba hii link niliyoiweka picha yake inahusiana na mjadala husika, ila kusudio langu lilikuwa ni kuweka nyimbo.
Hahahaa haaaa
Sawa nimekuelewa
Btw miss you
​Miss u too, hiyo avatar mpya ni aje? 🙂
Adhabu ya kumvamia njemba hadharani na kuzinyonya lips zake bila ridhaa yake si kubwa, hivyo ungeweza tu kuilipa. Kwa jinsi ulivyozinyonya na njemba kujiona yuko dunia ya maraha raha angeweza kugeuza kibao na kudai, "Nimependa sana unyonyaji wako wa lips nakuomba tuwe wapenzi." Ungeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Hahahaaaaa... nashukuru sana mkuu... ntakutumiapo liphoto lake ukompee.... Thubutu kukutwa!!!!
Nipo bhana natafakari RASIMU Mpya ya MACCM... hadi kichwa kinataka kuachia bendi.. hii nchi hii ndugu yangu... Ni zaidi ya sinema kinachoendelea sasa.