Lips zake zimenichanganya

Lips zake zimenichanganya

yaani kuna mtu waweza muona ukatamani km kumn'gang'ania ila tatizo si wakoooo au mdogoooo




Habari zenu wapendwa,

Kama kawa kama dawa Kasie is on board, yaani acha tuu niwasimulie na mnisikilize. Haina mashiko saana ila ndo beats za Kasinde.
Leo bana mida ya lunch nilienda ofc flani hv kupata huduma sasa tukiwa kwenye foleni mtu wa mbele yangu alikuwa kijana mdogo tuu, mdogo kwangu kwa makadirio ya haraka nimemzidi kama 10 to 15 yrs. Huyu kijana alinifanya nizubae na sikutaka foleni iende, midomo yake uwiiii mizurii yaani nilikuwa nawaza kui muah. Mbaya zaidi akawa anaongea na simu akicheka sasa ooohhh!! Midomo imenihorojesha, sikuwahi kuwaza kama naweza izimikia midomo ya mtu ila leo nime proof. Yeye kama yeye simpendi ila midomo.... I love kissing Kasinde mie
 
hapana, hujanielewa, sina issue na serengeti boys wala sija fall kwa huyo kijana, yaani ukimuweka mbele yangu mie ntachukua midomo yake tuu kisha yeye aondoke simhitaji, yaani kiss la hiyo midomo nikiliwaza nahisi nikianza simalizi

hivi unafikiri hata walevi huwa wanaanzaje kuchukua bar maid aliyechoka!!!...anamtafutia sababu, labda miguu akimwangalia..."dah, lina miguu mizuri lakini", mwisho wa siku miguu ndiyo inasababisha kuvua bukta!
 
"Nitajutaaa ukiondokaa". Mwisho wa siku mliishiaje?

kila mtu akaendelea na safari zake baada ya kupata huduma, walau nili enjoy wakati niko kwenye foleni kwa kuziangalia tuu
 
Unataka kumbemenda mtoto wa watu... roho wa zinaa ashindwe ndan yako


siwezi bemenda mtoto wa mtu, niko very keen na umri wa mtu ndo maana nilikaza roho na kuishia kuugua moyoni huku nikipata mabusu ya mawazoni na hiyo midomo.
 
picha tafadhali tufaidi wote wanasema kizuri kula na mwenzio
 
imagine ndo una mke kama huyu!!! yaaani bora niende mnadani tubadilishane na beberu ninywe supu....

Na watu wenye kuchonga chonga midomo juu ya watu na kujiona kuwa hawawezi kuwa na kitu kisichofaa kwenye jamii ndo huishia kuoa changudoa, yaani mkewe usiku anamuaga, mume wangu naenda kazini na unakuta Junior. Cux anamsindikiza hadi anapoenda kujiuza na kurudi nyumbani akisubiri asubuhi mkewe arudi.

Bora mtu akaoa mke kama mie maana tabia zangu sijifichi ili huyo mume akajua namna ya kukabiliana na hizo tabia, kuliko ukaoa mke anaejionesha mtakatifu aliyeficha makucha kisha ukimujweka ndani ndo unakoma na roho yako, endelea kuchagua hivohivo utakuja jikuta unaoa hilohilo beberu.

FYI am not a wife material, marriage is not in my vocabulary.
 
Last edited by a moderator:
umenikumbusha myboy wa chuo miaka hiyooooo alikuaga na lips balaaaaa yan dah!!!!! umenihanisha aseeeeee
 
Weka Picha

20dce0d3b8b29869a4adc8b28d3b0714.jpg


Kama za huyu hapa....
 
mbemende mbemende

mbemende......... hata kituo cha polisi mnipeleke.................. najutaaa

lips za kijana zimenichanganya Kasie mie
 
Unaweza shangaa huyu ni bongez la mdada, mwenye haiba unayoipenda.
Hizi stories za humu zisikupe presha, kama wataka jaribu bahati yako mkuu ! junior. cux

Atajuutaaaaa kumfahamu Kasinde aka popo lady aka crush madam
 
hivi unafikiri hata walevi huwa wanaanzaje kuchukua bar maid aliyechoka!!!...anamtafutia sababu, labda miguu akimwangalia..."dah, lina miguu mizuri lakini", mwisho wa siku miguu ndiyo inasababisha kuvua bukta!

To me I dont think that way, If I could I will take the lips tuu vingine tupa kuleee, napenda kukiss jamani acha tuu
 
Itakuwa balaa utapokutana na harufu inayochomoka humo kinywani.


Haipo kwasababu alikuwa anaongea na simu na sikusikia harufu mbaya, ingekuwepo ningeisikia kwa sababu alikuwa mbele yangu ila ndo hivo sikuweza hata zigusa lips zake...............
 
Back
Top Bottom