Chuki dhidi ya chama tawala ilitokana na madhaifu ya serikali huko nyuma sio kila jiji lazima lisichague chama tawala kwa sasa mambo yamebadilka,imebaki imani tu ya mtu juu ya chama fulani kwamba hiki ni chama changu,kuhusu dar huko nyuma huo mji ulikuwa na kero nyingi ndio maana wapinzani walipata nafasi na unatakiwa uelewe kero nyingi za majiji ni huduma za jamii Maji, umeme, barabara na afya sasa magufuri ametatua karibia asilimia 70% ndio maana wanamuunga mkono, barabara zinajengwa, foleni zinapunguzwa,s tand zinajengwa, huduma za afya za kibingwa zinapatikana, umeme 24hrs, maji hakuna mgao na unaunganishiwa kwa mkopo watu wa dar wana sababu gani ya kuchagua upinzani hiyo miji kama Arusha ni mihemuko, Mbeya, Moshi, mwanza, Tarime, na Iringa ni mazoea ya upinzani lakini si kweli kwamba kila mji Lazima uchague upinzani.