golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
Wanawake bana, sie wanaume hatuna muda wa kuchekacheka na kumuwazawaza mpenz kihiivyo labda iwe mna miadi mkutane saa flan ndo unawaza leo ntampa za kichinachina au za kijapani
Hahahahha kuna saa ingine unajisikia tu kuimba nyimbo za mapenzi......afu kwa sauti kuuuubwa
Am in Love, love, love .....Yes am in love
With a D.....Djeyyyyyyyyyyyyyyyyyy
yes am in love...tarararaaa oooh yes I ammmmmmmmmmmmmmmmm tararararaaaaaaaaaaaa
Jamani. (Nacheka mwenyewe ka mwehu ah...........maisha!!)
Inahuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Kama hujaelewa kalale
Naitumikia adhabu namba moja
MJ1,
Sorry, I've never been in love!
acha urongo wewe.... yaani hujawahi kupata kitu halafu wakati unaondoka ukaana kuimba na kucheza njia nzima??? dah siaminiWanawake bana, sie wanaume hatuna muda wa kuchekacheka na kumuwazawaza mpenz kihiivyo labda iwe mna miadi mkutane saa flan ndo unawaza leo ntampa za kichinachina au za kijapani
...Ha ha, kamanda Fidel80 acha maskhara bana,...mawazo hayo ukiyakimbiza mchana, Usiku yatakujia ndotoni!
aiseeeeee....Acha hayo mapenzi yaitwe mapenzi,mi nilikuwa mpumbavu kabisa yani unatamani kila saa awepo karibu yako na shughuli nyingine za maisha unahairisha kabisa.
Mi binafsi sijui nini maana ya kupenda na sijawahi penda kabisaaaa
....mnh, kumbe ni adhabu?....huenda huna njaa bana.
...acha bana, japo kwa masaa machache pia haikuwezekana?
mimi nawashangaa yaani picha la form three bado linaishi mpaka leo.MJ1, haya yalinitokea kipindi kile wakati ndo nakua,
lakini kwasasa nimeshasahau,
I strongly agree that it was a life time experience,
Ila hongereni akina dada, kwani haya yanaendelea sana kuwakuta hata,
katika umri wa utu uzima lol...
Eti mwenyewe umekaa umeshikilia kisimu chako unasubiria sms au simu,basi itokee amepiga mtu mwingine na fyonzo atapata sijui hata walikuwa wamekosea nini.
Mi binafsi sijui nini maana ya kupenda na sijawahi penda kabisaaaa
duh!sorry to tell u dis 'uchizi huanza kidogo kidogo '
akalale saa tisa na dakika arobaini na nne mchana ,du,au imekuwa mambo ya keko,ukonga na segerea?Inahuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Kama hujaelewa kalale
acha urongo wewe.... yaani hujawahi kupata kitu halafu wakati unaondoka ukaana kuimba na kucheza njia nzima??? dah siamini
i remember coming to america eddy murphy baada ya kupewa denda na lisa alikua chizi... what a good feeling!!
"...Tell me it's real,Tell Me It's Real- K-Ci & Jojo
This feeling that I feel,
Tell me it's real,
For your love,
I will do anything"
Umenikumbusha mbali sana na hii signature yako
Chauro na Gaga sijawaelewa vizuri!
penzi lipi hasa? mbona kama always tupo in luv na kama muna vituko hivyo maisha yenu yanaendeleaje wandugu?
Eti mwenyewe umekaa umeshikilia kisimu chako unasubiria sms au simu,basi itokee amepiga mtu mwingine na fyonzo atapata sijui hata walikuwa wamekosea nini.